IQNA

Wanafunzi Waislamu Nchini Uswidi Wabadilisha Shule Ili Kuepuka Ubaguzi wa Rangi

Wanafunzi Waislamu Nchini Uswidi Wabadilisha Shule Ili Kuepuka Ubaguzi wa Rangi

IQNA-Katika ripoti mpya iliyotolewa na taasisi ya utafiti ya Uswidi, imebainika kuwa idadi kubwa ya wanafunzi Waislamu wamekuwa wakihama shule kutokana na kukumbwa na ubaguzi wa rangi na chuki dhidi ya Uislamu.
19:18 , 2025 Nov 07
Watu Kadhaa Wajeruhiwa Katika Mlupuko Msikitini Shule ya Jakarta, Chanzo Chachunguzwa

Watu Kadhaa Wajeruhiwa Katika Mlupuko Msikitini Shule ya Jakarta, Chanzo Chachunguzwa

IQNA – Takriban watu 54 wamejeruhiwa kufuatia mlipuko uliotokea katika msikiti ulioko ndani ya eneo la shule jijini Jakarta, mji mkuu wa Indonesia, siku ya Ijumaa, kwa mujibu wa taarifa za polisi wa eneo hilo.
19:15 , 2025 Nov 07
Ayatullah Aarafi alaani mauaji ya kutisha Sudan, atoa wito hatua kuchukuliwa

Ayatullah Aarafi alaani mauaji ya kutisha Sudan, atoa wito hatua kuchukuliwa

IQNA-Ayatullah Alireza Aarafi, Mkurugenzi wa Vyuo Vikuu vya Kiislamu (Hauzah) nchini Iran ametoa ujumbe mzito wa kulaani mauaji ya kikatili dhidi ya watu wanyonge wa Sudan, akiwataka Waislamu na taasisi za kimataifa kuchukua msimamo wa wazi na wa dhati kuwasaidia Wasudan wanaodhulumiwa
18:58 , 2025 Nov 07
Hati Adimu za Qur’ani Zawasilishwa katika Nyumba ya Sanaa za Kiislamu ya Jeddah

Hati Adimu za Qur’ani Zawasilishwa katika Nyumba ya Sanaa za Kiislamu ya Jeddah

IQNA – Nyumba ya Makumbusho ya Sanaa za Kiislamu mjini Jeddah, maarufu kwa jina la Dar al-Funun al-Islamiyyah, imeandaa maonesho ya hati adimu za Qur’ani Tukufu pamoja na kazi za sanaa zinazodhihirisha uhusiano wa kihistoria kati ya imani ya Kiislamu, uzuri wa sanaa, na ustadi wa mikono.
18:32 , 2025 Nov 07
Mkutano wa Istanbul Wasisitiza Kufikiria Upya Nafasi ya Misikiti

Mkutano wa Istanbul Wasisitiza Kufikiria Upya Nafasi ya Misikiti

IQNA – Mkutano wa 4 wa Kimataifa kuhusu Usanifu wa Misikiti wa mwaka 2025 uliofanyika mjini Istanbul, Uturuki, umesisitiza haja ya kufikiria upya nafasi ya misikiti katika jamii za kisasa.
18:24 , 2025 Nov 07
Usomaji wa Qur'ani wa Karne Kadhaa Waendelea Bila Kukoma Katika Kasri ya Istanbul

Usomaji wa Qur'ani wa Karne Kadhaa Waendelea Bila Kukoma Katika Kasri ya Istanbul

IQNA-Katika kasri maarufu la Topkapi jijini Istanbul, utamaduni wa kale wa Kiislamu wa usomaji wa Qur'ani Tukufu umeendelea bila kukoma kwa karne nyingi. Usomaji huu wa kila siku, ulioanzishwa na Masultani wa Uthmaniyya, unaendelea hadi leo kama sehemu ya urithi wa kiroho na kitamaduni wa Waislamu wa eneo hilo.
21:13 , 2025 Nov 06
Mashindano Makuu ya Qur'ani ya Al-Azhar yameanza kwa ushiriki wa watu 150,000 nchini Misri

Mashindano Makuu ya Qur'ani ya Al-Azhar yameanza kwa ushiriki wa watu 150,000 nchini Misri

IQNA-Kituo cha Kiislamu cha Al-Azhar nchini Misri kimezindua awamu ya kwanza ya mashindano ya kila mwaka ya kuhifadhi Qur'ani Tukufu, maarufu kama Mashindano ya Sheikh Al-Azhar. Zaidi ya washiriki 150,000 wa kiume na wa kike kutoka mikoa mbalimbali ya Misri wanashiriki katika awamu hii ya mwanzo.
20:44 , 2025 Nov 06
Mwanamke Mpalestina Apambana na Saratani kwa Kuhifadhi Qur’an

Mwanamke Mpalestina Apambana na Saratani kwa Kuhifadhi Qur’an

IQNA – Shorouk Marar ni mwanamke kutoka mji wa Beit Daqo, kaskazini-magharibi mwa al-Quds (Jerusalem) inayokaliwa kwa mabavu, ambaye ana kisa cha azma thabiti na imani ya kina.
16:34 , 2025 Nov 05
Mwanazuoni: Bibi Fatima ni Mfano Hai wa Maana ya Qur’ani ya ‘Kawthar’

Mwanazuoni: Bibi Fatima ni Mfano Hai wa Maana ya Qur’ani ya ‘Kawthar’

IQNA – Mwanazuoni mmoja amesema kuwa Bibi Fatima al-Zahra (AS) ndiye dhihirisho halisi la maana ya “Kawthar” kama ilivyoelezwa katika Qur’ani Tukufu, akimtaja kuwa ni chemchemi ya baraka za kiroho na maarifa ya kijamii, ambaye athari yake inaendelea kuunda fikra za Kiislamu hadi leo.
16:13 , 2025 Nov 05
Qari chipukizi wa Iran aelezea safari yake ya kutambuliwa kitaifa

Qari chipukizi wa Iran aelezea safari yake ya kutambuliwa kitaifa

IQNA – Amirhossein Landarani, kijana mchanga wa Iran anayesoma na kuhifadhi Qur'an, ambaye hivi karibuni alishinda nafasi ya kwanza katika kipengele cha usomaji wa mashindano ya 48 ya Kitaifa ya Qur'an nchini Iran, amesema mafanikio hayo ni miongoni mwa matukio yenye maana kubwa maishani mwake.
16:07 , 2025 Nov 05
Wanafunzi Waislamu Marekani wataka uchunguzi baada ya Qur'ani Tukufu kuvunjiwa heshima

Wanafunzi Waislamu Marekani wataka uchunguzi baada ya Qur'ani Tukufu kuvunjiwa heshima

IQNA – Chuo Kikuu cha Houston kilichopo jimbo la Texas, Marekani, kimetangaza kuwa kinachunguza tukio la kuvunjia heshima nakala ya Qur'an Tukufu wakati wa mkusanyiko wa wanafunzi Waislamu.
16:00 , 2025 Nov 05
Msikiti wa Kaburi la Sheikh Shahab ol-Din Ahari eneo la Ahar, Iran

Msikiti wa Kaburi la Sheikh Shahab ol-Din Ahari eneo la Ahar, Iran

IQNA – Msikiti wa kihistoria wa kaburi la Sheikh Shahab ol-Din Ahari, ulioko Ahar, kaskazini-magharibi mwa Iran, ni mfano bora wa sanaa na usanifu wa enzi ya wafalme wa silsila ya Safavi.
12:46 , 2025 Nov 05
Mamdani achaguliwa kwa kishindo kuwa meya wa kwanza Mwislamu wa New York

Mamdani achaguliwa kwa kishindo kuwa meya wa kwanza Mwislamu wa New York

IQNA-Zohran Mamdani mbunge Muislamu amechaguliwa kuwa Meya wa 111 wa jiji la New York, mtu wa kwanza mwenye asili ya Asia Kusini na wa kwanza aliyezaliwa barani Afrika kuongoza jiji kubwa zaidi nchini Marekani.
12:09 , 2025 Nov 05
Ushirikiano Kwa Msingi wa Qur'ani Kukabiliana na Ukabila

Ushirikiano Kwa Msingi wa Qur'ani Kukabiliana na Ukabila

IQNA-Katika Uislamu, kuna kanuni inayoitwa ta’āwun , yaani kushirikiana katika mambo ya kheri. Waislamu wanapaswa kusaidiana katika mema, lakini wajiepushe kushirikiana katika dhulma, uonevu, au mambo ya batili; hata kama anayehusika ni ndugu au rafiki wa karibu.
21:15 , 2025 Nov 04
Bendera Nyeusi Yainuliwa Juu ya Kaburi la Imam Ridha (AS) Kuashiria Maombolezo ya Bi Fatima Zahra (SA)

Bendera Nyeusi Yainuliwa Juu ya Kaburi la Imam Ridha (AS) Kuashiria Maombolezo ya Bi Fatima Zahra (SA)

IQNA – Katika mji wa Mashhad, bendera ya kijani iliyokuwa juu ya kuba ya kaburi tukufu la Imam Ridha (AS) imeondolewa na kubadilishwa na bendera nyeusi, kuashiria kuanza kumbukumbu ya shahada ya Bi Fatima Zahra (SA), binti mtukufu wa Mtume Muhammad (SAW).
20:41 , 2025 Nov 04
1