IQNA

Mashindano ya Kwanza ya Qur'ani na Sunnah Yazinduliwa Nchini Brazil

Mashindano ya Kwanza ya Qur'ani na Sunnah Yazinduliwa Nchini Brazil

IQNA – Mashindano ya kwanza ya Qur'ani na Sunnah yameanza rasmi nchini Brazil, katika bara la Amerika ya Kusini.
23:53 , 2025 Oct 13
Mashindano ya Kuhifadhi Qur'ani Kufanyika Sambamba na Maonyesho ya Kimataifa ya Vitabu ya Libya

Mashindano ya Kuhifadhi Qur'ani Kufanyika Sambamba na Maonyesho ya Kimataifa ya Vitabu ya Libya

IQNA – Mashindano ya kuhifadhi Qur'ani Tukufu yatafanyika wakati wa toleo la pili la Maonyesho ya Kimataifa ya Vitabu ya Ofisi ya Mwendesha Mashtaka Mkuu wa Libya, yatakayofanyika mjini Tripoli mwishoni mwa mwezi huu.
23:46 , 2025 Oct 13
Washiriki 330 Kushindana Katika Mashindano ya Kitaifa ya Qur'ani ya Iran ya 48 Mjini Sanandaj

Washiriki 330 Kushindana Katika Mashindano ya Kitaifa ya Qur'ani ya Iran ya 48 Mjini Sanandaj

IQNA – Mashindano ya 48 ya Kitaifa ya Qur'ani Tukufu ya Iran, yakihusisha washiriki 330 kutoka maeneo mbalimbali ya nchi, yatafanyika mwaka huu katika mji wa Sanandaj ulioko magharibi mwa Iran, chini ya kauli mbiu: “Qur'ani, Kitabu cha Umoja.”
23:37 , 2025 Oct 13
Harakati ya Hamas yawakabidhi kwa Msalaba Mwekundu mateka 7 wa kwanza wa Israel huko Gaza

Harakati ya Hamas yawakabidhi kwa Msalaba Mwekundu mateka 7 wa kwanza wa Israel huko Gaza

IQNA-Shirika la Kimataifa la Msalaba Mwekundu (ICRC) limetangaza kukabidhiwa mateka saba wa kwanza wa Israel katika Ukanda wa Gaza.
23:32 , 2025 Oct 13
Qur'ani Inasemaje Kuhusu Ushirikiano na Kazi ya Pamoja

Qur'ani Inasemaje Kuhusu Ushirikiano na Kazi ya Pamoja

IQNA – Uislamu umeamuru wafuasi wake kusaidiana katika kutenda mema. Wakati watu wanapokusanyika na kuanzisha mahusiano ya kijamii, roho ya umoja huingia katika mahusiano yao, na hivyo hujikinga dhidi ya mgawanyiko na kutengana.
23:27 , 2025 Oct 13
Mtafiti Aangazia Umuhimu wa Mfano wa Wazazi katika Kuwafundisha Watoto Kuswali

Mtafiti Aangazia Umuhimu wa Mfano wa Wazazi katika Kuwafundisha Watoto Kuswali

IQNA – Mwanazuoni wa Kiirani, Hujjatul-Islam Habibollah Zamani, amesisitiza kuwa njia bora ya kuwahimiza watoto kuswali ni kwa wazazi kuishi kwa mfano wa maadili ya Kiislamu na kuifanya ibada kuwa sehemu ya kawaida ya maisha ya kifamilia.
09:43 , 2025 Oct 12
Jukwaa Mahiri la Mashindano ya Qur'an Lazinduliwa Morocco

Jukwaa Mahiri la Mashindano ya Qur'an Lazinduliwa Morocco

IQNA – Morocco imezindua jukwaa la kwanza la kidijitali lenye akili mnemba (AI) kwa ajili ya mashindano ya kuhifadhi na kusoma Qur'ani Tukufu, likilenga kubadilisha kabisa namna mashindano haya yanavyoandaliwa na kusimamiwa.
09:16 , 2025 Oct 12
JUMUIYA YA Waislamu wa Fiji Yatangaza McDonald's Siyo 'Halal'

JUMUIYA YA Waislamu wa Fiji Yatangaza McDonald's Siyo 'Halal'

IQNA –jumuiya ya Waislamu wa Fiji (FML) imetoa tangazo rasmi kwa Waislamu nchini humo kwamba haijaidhinisha McDonald's Fiji kuwa 'Halal'
07:02 , 2025 Oct 12
Waumini wa Sala ya Ijumaa Iran Wafanya Maandamano Kuunga Mkono Gaza

Waumini wa Sala ya Ijumaa Iran Wafanya Maandamano Kuunga Mkono Gaza

iQNA – Kwa mnasaba wa kumbukumbu ya mwaka wa pili wa Operesheni ya “Tufani ya Al-Aqsa,” maandamano yaliyopewa jina Bushara ya Ushindi yalifanyika kote nchini Iran. Jijini Tehran, waumini walikusanyika baada ya Sala ya Ijumaa na kuandamana kutoka Chuo Kikuu cha Tehran hadi Uwanja wa Mapinduzi (Meydān-e Enqelāb), wakionesha mshikamano wao na watu wa Gaza.
06:47 , 2025 Oct 12
Mkutano Wajadili Mashindano ya 9 ya Kitaifa ya Kundi la Qur'ani kwa Wanafunzi Nchini Iraq

Mkutano Wajadili Mashindano ya 9 ya Kitaifa ya Kundi la Qur'ani kwa Wanafunzi Nchini Iraq

IQNA – Maandalizi ya mashindano ya 9 ya kitaifa ya usomaji wa Qur'ani kwa makundi ya wanafunzi wa vyuo vikuu nchini Iraq yanaendelea chini ya usimamizi wa Kituo cha Dar-ol-Qur'an cha Idara ya MfawidhiHaram Tukufu ya wa Imam Hussein (A.S).
19:37 , 2025 Oct 11
Hukumu Dhidi ya Mchoma Qur'ani Yabatilishwa Uingereza kwa Kisingizio cha ‘Uhuru wa Maoni’

Hukumu Dhidi ya Mchoma Qur'ani Yabatilishwa Uingereza kwa Kisingizio cha ‘Uhuru wa Maoni’

IQNA – Hukumu dhidi ya mwanaume aliyepigwa faini kwa kuchoma nakala ya Qur'an nje ya ubalozi wa Uturuki jijini London imebatilishwa kwa kisingizio cha eti “uhuru wa kujieleza.”
19:29 , 2025 Oct 11
Mshindi wa Tuzo ya Amani ya Nobel atakiwa kuomba radhi kwa kuunga mkono Ufasisti wa Chuki Dhidi ya Waislamu

Mshindi wa Tuzo ya Amani ya Nobel atakiwa kuomba radhi kwa kuunga mkono Ufasisti wa Chuki Dhidi ya Waislamu

IQNA – Mwanasiasa kutoka Venezuela, Bi Maria Corina Machado, ambaye ametunukiwa Tuzo ya Amani ya Nobel ya mwaka 2025, ametakiwa kuomba msamaha na kujitenga na misimamo yake ya kuunga mkono ufasisti unaoeneza chuki dhidi ya Waislamu.
19:19 , 2025 Oct 11
Mashindano ya Qur'an Yasaidia Kuimarisha Jamii, Asema Qari Mkongwe Kutoka Iran 

Mashindano ya Qur'an Yasaidia Kuimarisha Jamii, Asema Qari Mkongwe Kutoka Iran 

IQNA – Mtaalamu mkongwe wa Qur'an, Abbas Salimi, amesema kuwa mashindano ya Qur'an yana mchango mkubwa katika kuimarisha jamii na kuzuia Qur'an Tukufu kusahaulika au kuwekwa pembeni.
18:44 , 2025 Oct 11
Mradi wa Kitaifa wa Kusahihisha Usomaji wa Qur'an Wazinduliwa Misri

Mradi wa Kitaifa wa Kusahihisha Usomaji wa Qur'an Wazinduliwa Misri

IQNA – Mradi wa kitaifa uitwao Miqraat al-Majlis (Usomaji wa Kikao) umezinduliwa nchini Misri kwa lengo la kusahihisha usomaji wa Qur'an Tukufu.
18:19 , 2025 Oct 11
Utawala ghasibu wa Israel umeshindwa vibaya Gaza na uhalali wake umetiwa doa katika uga wa kimataifa

Utawala ghasibu wa Israel umeshindwa vibaya Gaza na uhalali wake umetiwa doa katika uga wa kimataifa

IQNA-Khatibu wa Swala ya Ijumaaa iliyoswaliwa leo hapa mjini Tehran amesema kuwa, miaka miwili baada ya Operesheni kubwa ya Kimbunga cha Al-Aqswa haiba ya utawala wa Kizayuni imejaa msukosuko na mparaganyiko.
23:38 , 2025 Oct 10
1