IQNA

Bendera ya Haram ya Imam Ali (AS) yabadilishwa kabla ya tukio tukufu

Bendera ya Haram ya Imam Ali (AS) yabadilishwa kabla ya tukio tukufu

IQNA – Kadri maadhimisho ya kuzaliwa kwa Imam Ali (AS) yanavyokaribia, bendera ya haram ya Imam huyo wa kwanza imebadilishwa katika hafla maalumu Jumapili.
13:23 , 2025 Dec 29
Meya wa Kwanza Mwislamu kuchukua usukani wa New York wiki hii

Meya wa Kwanza Mwislamu kuchukua usukani wa New York wiki hii

IQNA – Zohran Mamdani ataapishwa kuwa meya wa 110 wa Jiji la New York wiki hii, ambapo ataweka historia kwa kuwa Mwislamu wa kwanza kuliongoza jiji kubwa zaidi nchini Marekani.
13:17 , 2025 Dec 29
Zabuni za huduma za Iftar zatangazwa kwa Ramadhani katika Misikiti ya Makkah na Madinah

Zabuni za huduma za Iftar zatangazwa kwa Ramadhani katika Misikiti ya Makkah na Madinah

IQNA – Kampuni zinazobobea katika huduma za chakula kwa wingi zinakaribishwa kuomba nafasi ya heshima ya kutoa futari katika Msikiti Mtukufu wa Makkah (Masjid al Haram) na Msikiti wa Mtume (SAW), Al Masjid An Nabawi mjini Madinah wakati wa mwezi mtukufu wa Ramadhani 2026.
13:09 , 2025 Dec 29
Migahawa ya Seoul yabadilika kukidhi wimbi la watalii Waislamu kwa menyu 'Halal'

Migahawa ya Seoul yabadilika kukidhi wimbi la watalii Waislamu kwa menyu 'Halal'

IQNA – Mapinduzi ya kimyakimya ya upishi yanaendelea mjini Seoul, Korea Kusini yakichochewa na mifuko na ladha za kundi linalokua kwa kasi: watalii Waislamu.
12:59 , 2025 Dec 29
Sauti | Tilawa ya Qur’ani Tukufu kwa Sauti ya Ridha Javidy

Sauti | Tilawa ya Qur’ani Tukufu kwa Sauti ya Ridha Javidy

IQNA – Sauti ya tilawa ya aya za 22 hadi 26 za Surah Ash-Shura pamoja na aya za Surah Al-Kawthar imetolewa kwa wafuatiliaji wa tovuti ya IQNA kwa sauti ya Ridha Javidy, qari wa Haram ya Imam Ridha (AS), jijini Mashhad, Kaskazini mashariki mwa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.
16:02 , 2025 Dec 28
Kipindi cha Qur'ani cha “Dawlat al-Tilawa”  Misri katika hatua ya Mwisho

Kipindi cha Qur'ani cha “Dawlat al-Tilawa” Misri katika hatua ya Mwisho

IQNA – Kipindi cha 13 cha shindano la vipaji vya Qur’ani Tukufu nchini Misri maarufu Dawlat al-Tilawa kilirushwa hewani wiki hii, kikiashiria kuanza kwa hatua ya mwisho ya mashindano.
15:56 , 2025 Dec 28
Mahitaji ya Tafsiri za Qur’ani kwa Kiswidi yaongezeka baada ya tukio la kuvunjia heshima nakala ya Qur’ani

Mahitaji ya Tafsiri za Qur’ani kwa Kiswidi yaongezeka baada ya tukio la kuvunjia heshima nakala ya Qur’ani

IQNA – Baada ya tukio la kuvunjia heshima nakala ya Qur’ani Tukufu mbele ya Msikiti Mkuu wa Stockholm, mahitaji ya kununua tarjuma au tafsiri za Qur’ani kwa lugha ya Kiswidi yameongezeka kwa kiwango kikubwa.
15:50 , 2025 Dec 28
Bendera ya “Ali Aliyezaliwa Ndani ya Kaaba” kupandishwa juu ya Kuba ya Haram ya Imam Ali (AS)

Bendera ya “Ali Aliyezaliwa Ndani ya Kaaba” kupandishwa juu ya Kuba ya Haram ya Imam Ali (AS)

IQNA – Uwanja wa Haram Tukufu ya Imam Ali (AS) mjini Najaf, Iraq, leo tarehe 28 Disemba 2025 umeshuhudia hafla ya kupandisha bendera maalum.
15:44 , 2025 Dec 28
Wanafunzi Wasomea Qur’ani kwa Sauti ya Pamoja Katika Msikiti Mkuu wa Algiers

Wanafunzi Wasomea Qur’ani kwa Sauti ya Pamoja Katika Msikiti Mkuu wa Algiers

IQNA – Kundi la wanafunzi Waalgeria wanaoishi nje ya nchi walisoma kwa pamoja aya za Surah Al-Kahf katika Msikiti Mkuu wa Algiers.
15:39 , 2025 Dec 28
2025: Mwaka ulioshuhudia kushadidi chuku dhidi ya Waislamu wa India

2025: Mwaka ulioshuhudia kushadidi chuku dhidi ya Waislamu wa India

IQNA – Kuanzia unyanyasaji wa mtandaoni hadi mashambulizi ya umati na sera za kibaguzi, mwaka 2025 uliweka bayana hali ya kutisha kwa Waislamu walio wachache nchini India.
15:34 , 2025 Dec 28
Ayatullah Khamenei: Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ni mbeba bendera ya mfumo wa kiadilifu wa Kiislamu ulimwenguni

Ayatullah Khamenei: Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ni mbeba bendera ya mfumo wa kiadilifu wa Kiislamu ulimwenguni

IQNA- Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Sayyid Ali Khamenei, amesema kuwa, Jamhuri ya Iran ya Kiislamu ni mbeba bendera ya kukabiliana mfumo wa kibeberu na mlinganiaji wa kuwepo mfumo wa kiadilifu wa Kiislamu ulimwenguni; suala ambalo kwa mujibu wake, ndilo sababu kuu ya mkanganyiko wa mataifa makubwa.
15:21 , 2025 Dec 28
Tabia ya Watu wa Peponi Duniani

Tabia ya Watu wa Peponi Duniani

IQNA – Katika aya za Qur’ani Tukufu, Istighfar (kuomba msamaha wa Mwenyezi Mungu) imeelezwa kuwa miongoni mwa masharti ya kuingia Peponi na pia ni ada ya kidunia ya watu wa Peponi.
20:06 , 2025 Dec 27
Nakala ya Qur’ani iIliyoandikwa kwa mkono na mkaligrafia mashuhuri yakabidhiwa ISESCO

Nakala ya Qur’ani iIliyoandikwa kwa mkono na mkaligrafia mashuhuri yakabidhiwa ISESCO

IQNA – Shirika la Elimu, Sayansi na Utamaduni la Ulimwengu wa Kiislamu (ISESCO) limepokea nakala adimu ya Qur’ani Tukufu iliyoandikwa kwa mkono wa Abu al-Hasan Ali bin Hilal bin Abdul Aziz, mkaligrafia maarufu wa ulimwengu wa Kiislamu.
19:49 , 2025 Dec 27
Sherehe katika kambi ya wakimbizi Gaza kuwaenzi wahifadhi Qur’ani 500

Sherehe katika kambi ya wakimbizi Gaza kuwaenzi wahifadhi Qur’ani 500

IQNA – Sherehe imefanyika katika Kambi ya Wakimbizi ya Al-Shati, magharibi mwa Gaza, kuadhimisha wanaume na wanawake 500 waliokamilisha kuhifadhi Qur’ani Tukufu.
19:33 , 2025 Dec 27
Watoto Waislamu wa Brazil Waanza Kozi ya Kuhifadhi Qur’ani huko Sao Paulo

Watoto Waislamu wa Brazil Waanza Kozi ya Kuhifadhi Qur’ani huko Sao Paulo

IQNA – Kituo cha Kiislamu cha Vila Cajon kilichoko Sao Paulo, mji mkuu wa kiuchumi wa Brazil, kimeandaa kozi ya kuhifadhi Qur’ani Tukufu kwa watoto.
19:14 , 2025 Dec 27
1