IQNA

Wairani 606 wameawa shahidi katika Siku 12 za Uvamizi wa Israel

Wairani 606 wameawa shahidi katika Siku 12 za Uvamizi wa Israel

IQNA - Waziri wa Afya wa Iran Daktari Mohammad Reza Zafarghandi amesema idadi ya waliouawa katika hujuma ya utawala wa Israel dhidi ya Iran ni 606.
00:15 , 2025 Jun 25
Iran imeulazimu utawala wa Kizayuni kukubali kushindwa

Iran imeulazimu utawala wa Kizayuni kukubali kushindwa

IQNA-Baraza Kuu la Usalama wa Taifa la Iran limetoa taarifa Jumanne na kuthibitisha kuwa utawala wa Kizayuni wa Israel umelazimika kukubali mapatano ya usitishaji vita.
23:58 , 2025 Jun 24
Kauli ya mkuu wa Shirika la Nishati ya Atomiki la Iran baada ya hujuma ya Marekani

Kauli ya mkuu wa Shirika la Nishati ya Atomiki la Iran baada ya hujuma ya Marekani

IQNA-Mohammad Eslami Mkuu wa Shirika la Nishati ya Atomiki la Iran amesema kuwa, hatuna imani tena na Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Atomiki (IAEA) na ukaguzi wake, kwa sababu zana zote hizo zimetumika katika kufanya ujasusi kwa maslahi ya utawala wa Kizayuni wa Israel.
19:48 , 2025 Jun 22
Taarifa ya Iran kuhusu uvamizi wa kijeshi wa Marekani dhidi ya vituo vya amani vya nyuklia vya Iran

Taarifa ya Iran kuhusu uvamizi wa kijeshi wa Marekani dhidi ya vituo vya amani vya nyuklia vya Iran

IQNA-Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Iran imetoa taarifa ikilaani hujuma na uvamizi wa kijeshi wa Marekani dhidi ya vituo vya nyuklia vya taifa hili vinavyofanya shughuli zake kwa malengo ya amani.
19:40 , 2025 Jun 22
'Iran Mashallah!': Watu Saudi Arabia waisifu namna Iran inavyokabiliana na uchokozi wa Israel

'Iran Mashallah!': Watu Saudi Arabia waisifu namna Iran inavyokabiliana na uchokozi wa Israel

IQNA-Waziri wa zamani wa Utamaduni wa Iran ameeleza jinsi Mahujaji wa kigeni na watu wa Saudia wanavopongeza jibu halali la Iran kufuatia uhokozi na uvamizi wa utawala haramu wa Israel.
19:06 , 2025 Jun 21
Maandamano yafanyika Asia Magharibi kuunga mkono Iran

Maandamano yafanyika Asia Magharibi kuunga mkono Iran

IQNA-Maandamano yamefanyika katika nchi kadhaa za eneo siku ya Ijumaa kutangaza kufungamana na Iran wakati huu wa kukabiliana na hujuma ya kichokozi na kijinai ya utawala wa Kizayuni wa Israel.
14:58 , 2025 Jun 21
Sheikh Mkuu wa Al Azhar alaani kimya cha jamii ya kimataifa kuhusu uchokozi wa Israel dhidi ya Iran

Sheikh Mkuu wa Al Azhar alaani kimya cha jamii ya kimataifa kuhusu uchokozi wa Israel dhidi ya Iran

IQNA-Imam wa Kituo cha Kiislamu cha Al Azhar nchini Misri amelanaani ikali mashambulizi yanayoendelea ya utawala haramu wa Israeldhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.
14:51 , 2025 Jun 21
Mufti wa Libya: Vita vya Iran na Israel ni mapambano baina ya Uislamu na Ukafiri

Mufti wa Libya: Vita vya Iran na Israel ni mapambano baina ya Uislamu na Ukafiri

IQNA-Mufti wa Libya, Sheikh Sadiq al Ghariani amesema kuwa vita vinavyooendelea kati ya Iran na Israel ni vita baina ya Uislamu na ukafiri.
23:11 , 2025 Jun 20
Hizbullah:  Tunasimama pamoja na Iran kukabiliana na hujuma Marekani, Iran

Hizbullah: Tunasimama pamoja na Iran kukabiliana na hujuma Marekani, Iran

IQNA-Katibu Mkuu wa Harakati ya Hizbullah ya Lebanon Sheikh Naim Qassem amesisitiza uungaji mkono usioyumba wa harakati hiyo kwa Iran huku akilaani hujuma ya kichokozi na iliyo haramu inayotekelezwa na Marekani na utawala wa Israel dhidi ya Iran.
22:47 , 2025 Jun 20
Wasomi wa Kiislamu Palestina waunga mkono Iran

Wasomi wa Kiislamu Palestina waunga mkono Iran

IQNA- Baraza la Maulamaa wa Kiislamu Palestina limetoa taarifa na kutangaza kufungamana na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika kukabiliana na utawala wa Kizayuni wa Israel.
22:04 , 2025 Jun 19
Qari maarufu wa Misri, Sheikh Taruti, afungamana na Iran katika kukabiliana na Israel

Qari maarufu wa Misri, Sheikh Taruti, afungamana na Iran katika kukabiliana na Israel

IQNA- Qari mashuhuri wa Misri, Sheikh Abdul Fattah  Taruti, ametangaza kufungamana na watu wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika kukabiliana na utawala wa Kizayuni wa Israel.
21:33 , 2025 Jun 19
Msomi wa Morocco: Nchi za Kiislamu ziunge mkono Iran kukabiliana na hujuma ya Israel

Msomi wa Morocco: Nchi za Kiislamu ziunge mkono Iran kukabiliana na hujuma ya Israel

IQNA- Rais wa zamani wa Jumuiya ya Kimataifa ya Maulamaa Waislamu, Sheikh Ahmed al Raissouni, ametoa wito kwa Waislamu duniani kote kuunga mkono Iran katika kukabiliana na hujuma ya kijeshi ya utawala wa Kizayuni wa Israel, huku akisisitiza kuwa hakuna taifa ambalo limewaunga mkono ukombozi wa Palestina kama ilivyofanya Iran.
19:15 , 2025 Jun 19
Kiongozi  mkuu wa Mashia Iraq alaani vitisho  dhidi ya Ayatullah Khamenei

Kiongozi mkuu wa Mashia Iraq alaani vitisho dhidi ya Ayatullah Khamenei

IQNA-Kiongozi mkuu wa Waislamu wa madhehebu ya Mashia wa Iraq Ayatullah Sistani amelaani vikali hujuma inayoendelea ya utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya Iran na vitisho vyovyote dhidi ya maisha ya Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Sayyid Ali Khamenei.
18:54 , 2025 Jun 19
Kiongozi Muadhamu: Wamarekani wafahamu kuwa taifa la Iran halitasalimu amri

Kiongozi Muadhamu: Wamarekani wafahamu kuwa taifa la Iran halitasalimu amri

IQNA-Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema taifa la Iran litasimama kidete  katika kukabiliana na vita vya kulazimishwa, kama ambavyo halitakubali amani ya kutwishwa  na hivyo taifa hali halitasalimu amri.
22:39 , 2025 Jun 18
Zakzaky: Mashambulizi ya kigaidi ya Israel yanapasa kulaaniwa duniani kote

Zakzaky: Mashambulizi ya kigaidi ya Israel yanapasa kulaaniwa duniani kote

Kiongozi wa Harakati ya Kiislamu nchini Nigeria (IMN), Sheikh Ibrahim Zakzaky amelaani mashambulizi ya Israel dhidi ya Iran na kuelezea hujuma hizo za utawala wa Kizayuni dhidi ya nchi huru kuwa ni kitendo cha juu zaidi cha uchokozi, kinachopaswa kulaaniwa duniani kote.
15:05 , 2025 Jun 18
2