Habari Maalumu
Zaka katika Uislamu /7
TEHRAN (IQNA) – Kuna mamia ya Hadithi kuhusu kile kinachosaidia katika kuendeleza urafiki.
26 Nov 2023, 13:58
Wanazuoni Mashuhuri wa Ulimwengu wa Kiislamu/36
TEHRAN (IQNA) – Ni jambo linalokubalika miongoni mwa Waislamu na wanazuoni wengi wasio Waislamu yaliyomo katika Qur’ani Tukufu hayajabadilika tangu ilipoteremshwa...
26 Nov 2023, 13:47
Harakati za Qur'ani barani Afrika
NOUAKCHOTT (IQNA) – Toleo la nne la shindano la kitaifa la kuhifadhi Qur’an Tukufu na maandishi ya Kiislamu linaendelea katika mji mkuu wa Mauritania.
25 Nov 2023, 21:53
Jinai za Israel
TEHRAN (IQNA) - Mmoja wa Wapalestina walioachiliwa kama sehemu ya makubaliano ya kubadilishana wafungwa kati ya Harakati ya Kiislamu ya Kupigania Ukombozi...
25 Nov 2023, 21:38
Wanazuoni Mashuhuri wa Ulimwengu wa Kiislamu /35
TEHRAN (IQNA) – Sheikh Ilyas Wang Jingzhai (180-1949) ndiye mtu wa kwanza aliyetafsiri Qur'ani Tukufu nzima katika lugha ya Kichina.
26 Nov 2023, 14:10
Mapambano ya Kiislamu (Muqawama Islamiya)
TEHRAN (IQNA)- Kiongozi wa Harakati ya Kiislamu ya Kupigania Ukombozi wa Palestina, Hamas, amesema Wapalestina wameulazimisha utawala wa Kizayuni wa Israel...
25 Nov 2023, 20:28
Chuki dhidi ya Uislamu
UHOLANZI (IQNA)- Uchaguzi mkuu wa Uholanzi ulifanyika Jumatano, Novemba 22 nchini humo ili kubaini nani ataongoza serikali ijayo ambayo inapaswa kuchukua...
25 Nov 2023, 21:06
Umrah 1435
MAKKA (IQNA) – Afisa mwandamizi wa Saudia aliwapa ushauri Waislamu wanaolenga kutekeleza ibada ya Hija ndogo ya Umrah juu ya wakati gani ni mzuri wa ibada...
25 Nov 2023, 20:50
Msomaji Maarufu wa Qur;ani
TEHRAN (IQNA) – Sheikh Mahmoud Khalil al-Hussary alikuwa Qari aliyesifiwa sana kwa usomaji wake sahihi wa Qur’ani Tukufu.
24 Nov 2023, 20:35
Uchumi Halal
ISTANBUL (IQNA) - Mamia ya makampuni na mashirika yanayoongoza kutoka nchi 40 yanashiriki katika Mkutano wa Halal wa Dunia na Maonyesho ya Halal ya Jumuiya...
24 Nov 2023, 20:06
Chuki dhidi ya Uislamu
BERLIN (IQNA) – Chuki dhidi ya Uislamu ni tatizo kubwa nchini Ujerumani, na kulishughulikia kunahitaji ushiriki wa makundi makubwa ya jamii, mtaalamu mashuhuri...
24 Nov 2023, 19:49
Operesheni ya Kimbunga cha al-Aqsa
TEHRAN (IQNA)- Khatibu wa muda wa Sala ya Ijumaa iliyoswaliwa leo hapa mjini Tehran amesema kuwa, Harakati ya Kiislamu (Muqawama) ya Kupigania Ukombozi...
24 Nov 2023, 19:23
Diplomasia ya Kiislamu
TEHRAN (IQNA)- Katibu Mkuu wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Hizbullah ya Lebanon amesisitiza utayarifu kamili wa muqawama katika nyanja mbalimbali...
24 Nov 2023, 19:08
AL-QUDS (IQNA) - Utawala wa Kizayuni wa Israel umeweka kwa walimu wa kike wa Qur'ani Tukufu katika Msikiti wa Al-Aqsa huko Al-Quds (Jerusalem).
23 Nov 2023, 13:47
Watetezi wa Palestina
TUNIS (IQNA) - Rached Ghannouchi, mkuu wa Chama cha Ennahda cha Tunisia, alielezea Operesheni ya Kimbunga cha Al-Aqsa kama zawadi kwa Umma wa Kiislamu.
23 Nov 2023, 13:37
Mapambano dhidi ya Israel
SANAA (IQNA) - Yemen imevurumisha makombora ya cruise dhidi ya maeneo ya kijeshi ya utawala wa Kizayuni wa Israel
23 Nov 2023, 13:05