IQNA

Fatwa

Dar ul-Ifta ya Misri: Haijuzi Kuipa Misikiti jina la Al-Aqsa

CAIRO (IQNA) – Taasisi ya Dar ul Ifta ya Misri imetangaza kuwa hairuhusiwi kidini kuupa msikiti wowote jina la Al-Aqsa.
Jinai Marekani

Vijana watatu wa Wapalestina wapigwa risasi nchini Marekani

VERMONT (IQNA) - Polisi wa Jimbo la Vermont waliripoti Jumapili kwamba vijana watatu wa Kipalestina walipigwa risasi na kujeruhiwa karibu na Chuo Kikuu...
Mfumo wa Kifedha wa Kiislamu

Mkutano wa Soko la Mitaji ya Kiislamu wafanyika Tehran

TEHRAN (IQNA) – Mkutano wa 15 wa Kimataifa wa Soko la Mitaji ya Kiislamu (ICM) unafanyika, Tehran, mji mkuu wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ambapo unashirikisha...
Zifahamu Dhambi/9

Vigezo vya kutofautisha dhambi kuu na dhambi ndogo

TEHRAN (IQNA) – Kumekuwa na mijadala mingi miongoni mwa wanachuoni wa Kiislamu kuhusu ni vigezo gani vilivyopo vya kutaja dhambi kuwa kubwa (Kabira) au...
Habari Maalumu
Faida za Kijamii za Zakat
Zaka katika Uislamu /7

Faida za Kijamii za Zakat

TEHRAN (IQNA) – Kuna mamia ya Hadithi kuhusu kile kinachosaidia katika kuendeleza urafiki.
26 Nov 2023, 13:58
Utangulizi wa Kuhusu Historia ya Hati za Qur'ani Tukufu
Wanazuoni Mashuhuri wa Ulimwengu wa Kiislamu/36

Utangulizi wa Kuhusu Historia ya Hati za Qur'ani Tukufu

TEHRAN (IQNA) – Ni jambo linalokubalika miongoni mwa Waislamu na wanazuoni wengi wasio Waislamu yaliyomo katika Qur’ani Tukufu hayajabadilika tangu ilipoteremshwa...
26 Nov 2023, 13:47
Mashindano ya Kitaifa ya Qur’ani Tukufu ya Mauritania yafanyika Nouakchott
Harakati za Qur'ani barani Afrika

Mashindano ya Kitaifa ya Qur’ani Tukufu ya Mauritania yafanyika Nouakchott

NOUAKCHOTT (IQNA) – Toleo la nne la shindano la kitaifa la kuhifadhi Qur’an Tukufu na maandishi ya Kiislamu linaendelea katika mji mkuu wa Mauritania.
25 Nov 2023, 21:53
Kutetea Msikiti wa Al-Aqsa ni fahari, asema mfungwa wa Kipalestina aliyeachiliwa huru
Jinai za Israel

Kutetea Msikiti wa Al-Aqsa ni fahari, asema mfungwa wa Kipalestina aliyeachiliwa huru

TEHRAN (IQNA) - Mmoja wa Wapalestina walioachiliwa kama sehemu ya makubaliano ya kubadilishana wafungwa kati ya Harakati ya Kiislamu ya Kupigania Ukombozi...
25 Nov 2023, 21:38
Mfasiri wa kwanza  wa Qur'ani Tukufu kwa Kichina
Wanazuoni Mashuhuri wa Ulimwengu wa Kiislamu /35

Mfasiri wa kwanza wa Qur'ani Tukufu kwa Kichina

TEHRAN (IQNA) – Sheikh Ilyas Wang Jingzhai (180-1949) ndiye mtu wa kwanza aliyetafsiri Qur'ani Tukufu nzima katika lugha ya Kichina.
26 Nov 2023, 14:10
Kiongozi wa Hamas: Wapalestina wamishurutisha Israel kusitisha vita
Mapambano ya Kiislamu (Muqawama Islamiya)

Kiongozi wa Hamas: Wapalestina wamishurutisha Israel kusitisha vita

TEHRAN (IQNA)- Kiongozi wa Harakati ya Kiislamu ya Kupigania Ukombozi wa Palestina, Hamas, amesema Wapalestina wameulazimisha utawala wa Kizayuni wa Israel...
25 Nov 2023, 20:28
Ushindi wa mrengo wa kulia wenye misimamo mikali katika uchaguzi wa Uholanzi na wasiwasi wa Waislamu
Chuki dhidi ya Uislamu

Ushindi wa mrengo wa kulia wenye misimamo mikali katika uchaguzi wa Uholanzi na wasiwasi wa Waislamu

UHOLANZI (IQNA)- Uchaguzi mkuu wa Uholanzi ulifanyika Jumatano, Novemba 22 nchini humo ili kubaini nani ataongoza serikali ijayo ambayo inapaswa kuchukua...
25 Nov 2023, 21:06
Ni wakati gani bora wa kutekeleza ibada ya Umrah katika Msikiti Mkuu wa Makka?
Umrah 1435

Ni wakati gani bora wa kutekeleza ibada ya Umrah katika Msikiti Mkuu wa Makka?

MAKKA (IQNA) – Afisa mwandamizi wa Saudia aliwapa ushauri Waislamu wanaolenga kutekeleza ibada ya Hija ndogo ya Umrah juu ya wakati gani ni mzuri wa ibada...
25 Nov 2023, 20:50
Urithi wa Sheikh Mahmoud Khalil Al-Hussary: Mtaalamu wa Kusoma Qur'ani
Msomaji Maarufu wa Qur;ani

Urithi wa Sheikh Mahmoud Khalil Al-Hussary: Mtaalamu wa Kusoma Qur'ani

TEHRAN (IQNA) – Sheikh Mahmoud Khalil al-Hussary alikuwa Qari aliyesifiwa sana kwa usomaji wake sahihi wa Qur’ani Tukufu.
24 Nov 2023, 20:35
Istanbul yaanandaa Mkutano wa ‘Halal’ na Maonyesho ya  OIC   ya ‘Halal’
Uchumi Halal

Istanbul yaanandaa Mkutano wa ‘Halal’ na Maonyesho ya OIC ya ‘Halal’

ISTANBUL (IQNA) - Mamia ya makampuni na mashirika yanayoongoza kutoka nchi 40 yanashiriki katika Mkutano wa Halal wa Dunia na Maonyesho ya Halal ya Jumuiya...
24 Nov 2023, 20:06
Kuna tatizo sugu la chuki dhidi ya Uislamu nchini Ujerumani
Chuki dhidi ya Uislamu

Kuna tatizo sugu la chuki dhidi ya Uislamu nchini Ujerumani

BERLIN (IQNA) – Chuki dhidi ya Uislamu ni tatizo kubwa nchini Ujerumani, na kulishughulikia kunahitaji ushiriki wa makundi makubwa ya jamii, mtaalamu mashuhuri...
24 Nov 2023, 19:49
Khatibu wa  Sala ya Ijumaa Tehran: Operesheni ya Kimbunga cha al-Aqsa ilivunja uti wa mgongo wa Israel
Operesheni ya Kimbunga cha al-Aqsa

Khatibu wa Sala ya Ijumaa Tehran: Operesheni ya Kimbunga cha al-Aqsa ilivunja uti wa mgongo wa Israel

TEHRAN (IQNA)- Khatibu wa muda wa Sala ya Ijumaa iliyoswaliwa leo hapa mjini Tehran amesema kuwa, Harakati ya Kiislamu (Muqawama) ya Kupigania Ukombozi...
24 Nov 2023, 19:23
Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Kiongozi wa Hizbullah wakutana Beirut
Diplomasia ya Kiislamu

Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Kiongozi wa Hizbullah wakutana Beirut

TEHRAN (IQNA)- Katibu Mkuu wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Hizbullah ya Lebanon amesisitiza utayarifu kamili wa muqawama katika nyanja mbalimbali...
24 Nov 2023, 19:08
Utawala wa Israel unajaribu kuzuia shughuli za Qur'ani katika Msikiti wa Al-Aqsa

Utawala wa Israel unajaribu kuzuia shughuli za Qur'ani katika Msikiti wa Al-Aqsa

AL-QUDS (IQNA) - Utawala wa Kizayuni wa Israel umeweka kwa walimu wa kike wa Qur'ani Tukufu katika Msikiti wa Al-Aqsa huko Al-Quds (Jerusalem).
23 Nov 2023, 13:47
Mkuu wa  chama cha Kiislamu cha Tunisia apongeza Operesheni ya Kimbunga cha Al-Aqsa, asema ni zawadi kwa Umma wa Kiislamu
Watetezi wa Palestina

Mkuu wa  chama cha Kiislamu cha Tunisia apongeza Operesheni ya Kimbunga cha Al-Aqsa, asema ni zawadi kwa Umma wa Kiislamu

TUNIS (IQNA) - Rached Ghannouchi, mkuu wa Chama cha Ennahda cha Tunisia, alielezea Operesheni ya Kimbunga cha Al-Aqsa kama zawadi kwa Umma wa Kiislamu.
23 Nov 2023, 13:37
Makombora ya cruise ya Yemeni yalenga vituo vya kijeshi vya Israel
Mapambano dhidi ya Israel

Makombora ya cruise ya Yemeni yalenga vituo vya kijeshi vya Israel

SANAA (IQNA) - Yemen imevurumisha makombora ya cruise dhidi ya maeneo ya kijeshi ya utawala wa Kizayuni wa Israel
23 Nov 2023, 13:05
Picha‎ - Filamu‎