IQNA

Vyuo Vikuu Bora Vyaenziwa katika Mashindano ya Kimataifa ya Qur’ani ‘Al-Nur’ nchini Iraq

IQNA-Hafla ya kuvienzi vyuo vikuu vilivyofanya vyema pamoja na kamati ya majaji walioshiriki katika Mashindano ya Kimataifa ya Qur’ani ya vyuo vikuu, yaliyopewa...

Maonyesho ya "Misikiti katika Uislamu" Yafanyika Paris

IQNA – "Misikiti katika Uislamu" ni jina la maonyesho ya sanaa yaliyozinduliwa katika Msikiti Mkuu wa Paris, mji mkuu wa Ufaransa.

Washindi wa Mashindano ya Kimataifa ya Qur’ani Kazakhstan Watunukiwa

IQNA – Toleo la pili la Mashindano ya Kimataifa ya Usomaji na Kuhifadhi Qur’ani Tukufu nchini Kazakhstan limehitimishwa kwa hafla rasmi iliyofanyika mjini...

Waziri wa Kizayuni Auhujumu Tena Msikiti wa Al-Aqsa

IQNA-Itamar Ben Gvir, Waziri wa Usalama wa Ndani wa utawala wa Kizayuni, licha ya onyo kutoka kwa Waqfu wa Kiislamu, ameuvamia tena Msikiti wa Al-Aqsa...
Habari Maalumu
Sheikh Ahmed Nuaina Achaguliwa Kuwa Sheikh al-Qurra wa Misri

Sheikh Ahmed Nuaina Achaguliwa Kuwa Sheikh al-Qurra wa Misri

IQNA-Wizara ya Wakfu wa Kidini ya Misri imemteua rasmi Qari Dkt. Ahmed Ahmed Nuaina kuwa Sheikh al-Qurra, yaani Kiongozi Mkuu wa Wasomaji wa Qur'anI nchini...
17 Oct 2025, 07:45
Makkah: Mradi Mpya wa Lango la Mfalme Salman Kuongeza Maeneo ya Sala katika Msikiti Mkuu wa Makka

Makkah: Mradi Mpya wa Lango la Mfalme Salman Kuongeza Maeneo ya Sala katika Msikiti Mkuu wa Makka

IQNA – Katika juhudi za kuboresha huduma kwa mahujaji na wakazi wa Makkah, kampuni ya RUA Al Haram Al Makki imetangaza mradi mkubwa wa maendeleo unaojulikana...
17 Oct 2025, 07:38
Mashindano ya Kimataifa ya Qur'an Yawaleta Wanafunzi wa Dunia Karbala

Mashindano ya Kimataifa ya Qur'an Yawaleta Wanafunzi wa Dunia Karbala

IQNA – Chuo Kikuu cha Al-Ameed kimeandaa Mashindano ya Kimataifa ya Qur'an yanayojulikana kama “Qur'an Al-Nur”, yakihusisha wanafunzi kutoka zaidi ya vyuo...
17 Oct 2025, 07:24
Mashindano ya Pili ya Kimataifa ya Usomaji na Kuhifadhi Qur'ani Tukufu Yafanyika Astana, Kazakhstan

Mashindano ya Pili ya Kimataifa ya Usomaji na Kuhifadhi Qur'ani Tukufu Yafanyika Astana, Kazakhstan

IQNA – Tarehe 15 Oktoba, katika Msikiti Mkuu wa Astana, Kazakhstan, mashindano ya pili ya Kimataifa ya Usomaji na Kuhifadhi Qur'an Tukufu yamekamilika,...
17 Oct 2025, 07:17
Mamlaka ya Fatwa ya Al-Azhar Yaruhusu Kulipa Zakat kwa Wapalestina Waliokoseshwa Makazi Gaza

Mamlaka ya Fatwa ya Al-Azhar Yaruhusu Kulipa Zakat kwa Wapalestina Waliokoseshwa Makazi Gaza

IQNA – Dar al-Ifta ya Misri imetoa fatwa mpya ya kidini inayoruhusu raia kuelekeza mali ya zakat kusaidia mahitaji ya msingi ya watu waliokoseshwa makazi...
15 Oct 2025, 23:38
Raundi ya Mwisho ya Mashindano ya  Qur'ani ya Sheikha Hind bint Maktoum huko Dubai

Raundi ya Mwisho ya Mashindano ya Qur'ani ya Sheikha Hind bint Maktoum huko Dubai

IQNA – Hatua ya mwisho ya Mashindano ya 26 ya Qur'ani Tukufu ya Sheikha Hind bint Maktoum imeanza rasmi Dubai, ikiwakutanisha wanaume na wanawake wanaohifadhi...
15 Oct 2025, 23:28
Kijana wa Kipalestina Akuta Msahafu Uliosalimika Chini ya Magofu ya Nyumba Yake Gaza +Video

Kijana wa Kipalestina Akuta Msahafu Uliosalimika Chini ya Magofu ya Nyumba Yake Gaza +Video

IQNA – Kijana mmoja wa Kipalestina amegundua nakala ya Msahafu ikiwa salama kabisa chini ya magofu ya nyumba yake iliyoharibiwa kaskazini mwa Gaza, akieleza...
15 Oct 2025, 23:08
Mkuu wa Al-Azhar Asisitiza Kuepuka Kuvunjia Heshima Mtukufu ya Dini

Mkuu wa Al-Azhar Asisitiza Kuepuka Kuvunjia Heshima Mtukufu ya Dini

IQNA – Imamu Mkuu wa Al-Azhar nchini Misri, Sheikh Ahmed al-Tayeb, amesisitiza umuhimu wa kuheshimu matukufu ydini na kuepa uka matusi au dharau dhidi...
15 Oct 2025, 12:37
Maktaba ya Vatican Yatenga Sehemu Maalum ya Kuswali kwa Watafiti Waislamu

Maktaba ya Vatican Yatenga Sehemu Maalum ya Kuswali kwa Watafiti Waislamu

IQNA – Maktaba ya Kitume ya Vatican imetenga eneo dogo kwa ajili ya watafiti Waislamu kuswali wanapoitembelea.
15 Oct 2025, 12:20
UAE: Wito Watolewa kwa Sala ya Kitaifa ya Kuomba Mvua

UAE: Wito Watolewa kwa Sala ya Kitaifa ya Kuomba Mvua

IQNA – Agizo limetolewa la kuandaa Sala ya Istisqa (kuomba mvua) katika misikiti yote ya Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) siku ya Ijumaa.
14 Oct 2025, 19:06
Msikiti Wafunguliwa Gaza Baada ya Kusitishwa kwa Mapigano, Sauti ya Adhana Yarejea Kambini

Msikiti Wafunguliwa Gaza Baada ya Kusitishwa kwa Mapigano, Sauti ya Adhana Yarejea Kambini

IQNA – Baada ya miezi kadhaa ya kufungwa kutokana na mashambulizi ya angani, Msikiti wa Al-Tawhid ulioko katika kambi ya wakimbizi ya Al-Shati, Gaza, umefunguliwa...
14 Oct 2025, 18:40
Usajili Wafunguliwa kwa Tuzo ya Kimataifa ya Qur’ani ya UAE

Usajili Wafunguliwa kwa Tuzo ya Kimataifa ya Qur’ani ya UAE

IQNA-Idara Kuu ya Mambo ya Kiislamu, Awqaf na Zakat ya Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) imetangaza kuanza kwa usajili wa toleo la pili la Emirates International...
14 Oct 2025, 18:59
Maana ya Ushirikiano katika Maisha ya Mtume Mtukufu (SAW)
Ushirikiano katika Qur’ani Tukufu (Sehemu ya Pili)/2

Maana ya Ushirikiano katika Maisha ya Mtume Mtukufu (SAW)

IQNA – Neno Ta’avun (ushirikiano) hutumika kama istilahi ya kielimu katika fani nyingi, lakini katika Seerah ya Mtume Mtukufu (SAW), mara nyingi linahusiana...
14 Oct 2025, 18:22
Mashindano ya Kwanza ya Qur'ani na Sunnah Yazinduliwa Nchini Brazil

Mashindano ya Kwanza ya Qur'ani na Sunnah Yazinduliwa Nchini Brazil

IQNA – Mashindano ya kwanza ya Qur'ani na Sunnah yameanza rasmi nchini Brazil, katika bara la Amerika ya Kusini.
13 Oct 2025, 23:53
Mashindano ya Kuhifadhi Qur'ani Kufanyika Sambamba na Maonyesho ya Kimataifa ya Vitabu ya Libya

Mashindano ya Kuhifadhi Qur'ani Kufanyika Sambamba na Maonyesho ya Kimataifa ya Vitabu ya Libya

IQNA – Mashindano ya kuhifadhi Qur'ani Tukufu yatafanyika wakati wa toleo la pili la Maonyesho ya Kimataifa ya Vitabu ya Ofisi ya Mwendesha Mashtaka Mkuu...
13 Oct 2025, 23:46
Qur'ani Inasemaje Kuhusu Ushirikiano na Kazi ya Pamoja
Ushirikiano katika Qur'ani Tukufu/1

Qur'ani Inasemaje Kuhusu Ushirikiano na Kazi ya Pamoja

IQNA – Uislamu umeamuru wafuasi wake kusaidiana katika kutenda mema. Wakati watu wanapokusanyika na kuanzisha mahusiano ya kijamii, roho ya umoja huingia...
13 Oct 2025, 23:27
Picha‎ - Filamu‎