IQNA

Mapambano yazuka Dearborn kufuatia kauli za Chuki Dhidi ya Uislamu na jaribio la kudhalilisha Qur'ani

IQNA – Waandamanaji waligongana mitaani Dearborn Jumanne baada ya wanaharakati wa mrengo wa kulia kuwachokoza wakazi kwa kauli za chuki dhidi ya Uislamu...

Warsha Yemen kuhusu uhifadhi wa nyaraka za kale za Qur'ani Tukufu

IQNA – Warsha ya mafunzo kuhusu mbinu na njia za kuhifadhi na kukarabati nyaraka za kale za Qur'ani Tukufu za mwanzo imefanyika nchini Yemen.

Jordan yazindua mradi wa kukusanya na kurekebisha nakala za Qur'ani Tukufu zilizochakaa

IQNA – Idara ya Awqaf (Wakfu) katika Mkoa wa Tafilah, Jordan, imeanzisha mradi maalumu wa kukusanya na kurekebisha nakala za Qur'ani Tukufu zilizochakaa...

Mhubiri wa Al-Aqsa Sheikh Sabri asema kesi yalenga kuwanyamazisha watetezi wa Msikiti

IQNA – Sheikh Ekrima Sabri amesema mamlaka za Kizayuni zinapotosha dhana za Kiislamu kwa malengo ya kisiasa, wakati akikabiliwa na kesi mjini al-Quds kwa...
Habari Maalumu
Kanuni ya Kiislamu ya ushirikiano katika nyanja za uchumi
Ushirikiano Katika Qur’ani Tukufu / 12

Kanuni ya Kiislamu ya ushirikiano katika nyanja za uchumi

IQNA – Mojawapo ya matumizi muhimu ya kanuni ya ushirikiano ni katika uwanja wa uchumi, ingawa uhusiano kati ya kanuni ya ushirikiano katika Qur’ani na...
18 Nov 2025, 17:19
Vipengele muhimu vya programu ya Qur’ani ya Misri Dawlat al-Tilawa

Vipengele muhimu vya programu ya Qur’ani ya Misri Dawlat al-Tilawa

IQNA – Kipindi cha kwanza cha televisheni Dawlat al-Tilawa kilizinduliwa Ijumaa nchini Misri, kikiwa safari mpya ya kugundua vipaji vinavyochipukia katika...
18 Nov 2025, 17:15
Jamii za Kiislamu zinakabiliwa na mgogoro wa kimaadili, asema mwanazuoni

Jamii za Kiislamu zinakabiliwa na mgogoro wa kimaadili, asema mwanazuoni

IQNA – Mwanafalsafa kutoka Algeria amesema jamii za Kiislamu zinakabiliwa na mgogoro wa kimaadili unaotishia familia na kupotosha ufahamu wa Kiislamu kuhusu...
18 Nov 2025, 17:09
Qari Mashuhuri wa Iran Atoa Wito wa “Ubunifu wa Kiheshima” Katika Kisomo cha Qur’ani

Qari Mashuhuri wa Iran Atoa Wito wa “Ubunifu wa Kiheshima” Katika Kisomo cha Qur’ani

IQNA – Qari wa kimataifa kutoka Iran amesema kuwa kisomo cha mashindano mengi kina upungufu wa kina cha hisia, na ametoa rai ya kuwepo kwa viwango vya...
18 Nov 2025, 17:01
Maqari wa Haram ya Imam Hussein (AS) wang’aa katika Mashindano ya Kitaifa ya Qur’ani kwa Wanawake nchini Iraq

Maqari wa Haram ya Imam Hussein (AS) wang’aa katika Mashindano ya Kitaifa ya Qur’ani kwa Wanawake nchini Iraq

IQNA – Maqari wa kike wa Qur’ani kutoka Dar-ul-Qur’an ya Astan ya Haram Tukufu ya Imam Hussein (AS) wameibuka washindi katika mashindano ya saba ya kitaifa...
17 Nov 2025, 14:42
Mashindano ya Qur’ani ya Nepal yafikia fainali mjini Katmandu

Mashindano ya Qur’ani ya Nepal yafikia fainali mjini Katmandu

IQNA-Duru ya tatu kwa mashindano ya kila mwaka ya Qur’ani nchini Nepal imeingia hatua ya mwisho, Jumapili. Wizara ya Mambo ya Kiislamu, Da‘wa na Mwongozo...
17 Nov 2025, 14:37
Wanafunzi wa Iran waanza safari ya Umrah kuelekea ardhi ya Wahyi

Wanafunzi wa Iran waanza safari ya Umrah kuelekea ardhi ya Wahyi

IQNA – Hafla ya kuaga kundi la kwanza la wanafunzi wanaoelekea katika ibada ya Hija ndogo ya Umrah kutoka vyuo vikuu imefanyika mjini Tehran Jumapili,...
17 Nov 2025, 11:10
Dunia ya leo yahitaji ujumbe wa Rumi zaidi kuliko wakati Wowote

Dunia ya leo yahitaji ujumbe wa Rumi zaidi kuliko wakati Wowote

IQNA – Wazungumzaji katika mkutano kuhusu Maulana Jalaluddin Rumi uliofanyika Kuala Lumpur, Malaysia, wameangazia namna dunia ya sasa inavyohitaji mafundisho...
17 Nov 2025, 11:21
Mufti Mkuu wa Oman ataka Israel ilazimishwe isitishe ukiukaji wa makubaliano ya Gaza

Mufti Mkuu wa Oman ataka Israel ilazimishwe isitishe ukiukaji wa makubaliano ya Gaza

IQNA – Mufti Mkuu wa Oman ametoa wito kwa jumuiya ya kimataifa na nchi za Kiislamu kuushinikiza utawala wa Kizayuni kusitisha ukiukaji wa makubaliano ya...
17 Nov 2025, 11:03
Kumbukumbu ya Qari Mahmud Khalil al‑Hussary katika Televisheni ya Misri

Kumbukumbu ya Qari Mahmud Khalil al‑Hussary katika Televisheni ya Misri

IQNA – Kipindi cha televisheni Dawlet El Telawa, mashindano maalum ya vipaji vya usomaji wa Qur’ani nchini Misri, kimemkumbuka Qari maarufu Sheikh Mahmud...
16 Nov 2025, 15:45
Kikao cha Sharjah kuhusu maandishi ya Qur'ani Tukufu katika dunia ya kidijitali

Kikao cha Sharjah kuhusu maandishi ya Qur'ani Tukufu katika dunia ya kidijitali

IQNA – Je, ni vipi maandishi ya kidini kama Qur’ani Tukufu  yanaweza kuthibitishwa kuwa sahihi na kusomwa kwa kutumia akili mnemba (AI) ya kisasa?
16 Nov 2025, 15:37
Mkutano wa Tabriz–Vienna kujadili mustakabali wa dunia na changamoto mpya za falsafa

Mkutano wa Tabriz–Vienna kujadili mustakabali wa dunia na changamoto mpya za falsafa

IQNA – Mkutano wa kimataifa kuhusu mustakabali wa dunia na masuala mapya ya kifalsafa utafanyika mtandaoni tarehe 20 Novemba, sambamba na Siku ya Falsafa...
16 Nov 2025, 15:18
Vehbi Ismail Haki; Mwanzo wa Uchapishaji wa Maarifa ya Qur’ani kwa Kialbania

Vehbi Ismail Haki; Mwanzo wa Uchapishaji wa Maarifa ya Qur’ani kwa Kialbania

IQNA-Vehbi Ismail Haki (1919–2008) alikuwa mwandishi, imam na msomi mashuhuri kutoka Albania aliyechangia pakubwa kusambaza utamaduni wa Kiislamu na maarifa...
16 Nov 2025, 15:06
Chuo Kikuu cha Columbia chalaani kuhujumiwa mwanafunzi Muislamu

Chuo Kikuu cha Columbia chalaani kuhujumiwa mwanafunzi Muislamu

IQNA – Baada ya tukio la uhalifu wa chuki lililoripotiwa ambapo dada Muislamu alivamiwa na kufuatwa karibu na Chuo Kikuu cha Columbia kwa sababu ya kuvaa...
16 Nov 2025, 14:47
Kuandaa Mazingira ya Ndoa kwa Vijana; Mfano wa Ushirikiano Katika Qur’ani
Ushirikiano katika Qur’ani Tukufu / 11

Kuandaa Mazingira ya Ndoa kwa Vijana; Mfano wa Ushirikiano Katika Qur’ani

IQNA – Ushirikiano na watu binafsi pamoja na taasisi zinazojitahidi kuandaa mazingira ya ndoa na kuundwa kwa familia kwa vijana ni miongoni mwa mifano...
15 Nov 2025, 21:00
Dunia yakemea shambulio la Waisraeli dhidi ya msikiti wa Palestina

Dunia yakemea shambulio la Waisraeli dhidi ya msikiti wa Palestina

IQNA – Shambulio lililofanywa na kundi la walowezi haramu wa Kizayuni dhidi ya msikiti katika eneo linalokaliwa kwa mabavu na Israel Ukingo wa Magharibi...
15 Nov 2025, 11:34
Picha‎ - Filamu‎