IQNA

Inna Lillah wa Inna Ilayhi Rajioun

Sheikh Ali Mayunga, mfasiri maarufu wa Qur'ani Tukufu Afrika Mashariki ameaga dunia

IQNA- Jamii ya Kiislamu Afrika Mashariki na hasa nchini Tanzania imekumbwa na msiba mkubwa kufuatia kufariki dunia kwa mwanazuoni mashuhuri, na mfasiri...

Kampeni ya kuchangia Ibada ya Itikafu

IQNA-Kampeni ya ‘Nadhiri ya Itikafu’, ambapo watu wanachangia kugharamia ibada ya Itikafu misikitini imezinduliwa nchini Iran. Itikafu ni kujitenga kwa...

Qari kutoka Iran asoma Qur'ani katika hafla ya usiku wa kuamkia mwaka mpya Bosnia

IQNA-Qari kutoka Iran ameshiriki katika usomaji Qur’an Tukufu katika hafla maalum iliyofanyika mjini Kakani, Bosnia na Herzegovina, usiku wa kuamkia Mwaka...

Tamasha la kimataifa la ‘Roho ya Unabii’ lazinduliwa Karbala

IQNA-Toleo la nane la tamasha la kimataifa la kitamaduni kwa wanawake, liitwalo ‘Roho ya Unabii’, limezinduliwa mjini Karbala, Iraq, siku ya Alhamisi.
Habari Maalumu
Hamas imepinga vikali hatua ya Israel ya kujitwalia mamlaka juu ya Msikiti wa Ibrahimi

Hamas imepinga vikali hatua ya Israel ya kujitwalia mamlaka juu ya Msikiti wa Ibrahimi

Amri ya hivi karibuni ya utawala wa  Israel, iliyondoa mamlaka ya manispaa ya al-Khalil (Hebron) katika maamuzi ya mipango kuhusu eneo nyeti la msikiti...
02 Jan 2026, 18:03
Rais wa Somalia: Israel inataka kuwahamisha kwa nguvu Wapalestina hadi 'Somaliland'

Rais wa Somalia: Israel inataka kuwahamisha kwa nguvu Wapalestina hadi 'Somaliland'

IQNA-Rais Hassan Sheikh Mohamud wa Somalia amezinukuu ripoti za kiitelijinsia na kusema kuwa eneo lililojitenga la na nchi hiyo la Somaliland limekubali...
01 Jan 2026, 15:44
Akiwa ameshika Qur’ani Tukufu, Mamdani aandika historia kama meya Mwislamu wa jiji la New York

Akiwa ameshika Qur’ani Tukufu, Mamdani aandika historia kama meya Mwislamu wa jiji la New York

IQNA – Katika hafla iliyovunja desturi za karne nyingi, Zohran Mamdani alianza rasmi muhula wake kama meya wa Jiji la New York siku ya Alhamisi kwa kuapa...
01 Jan 2026, 14:19
Israel yalaaniwa kwa kupiga marufuku mashirika ya misaada Gaza

Israel yalaaniwa kwa kupiga marufuku mashirika ya misaada Gaza

IQNA – Mkuu wa shirika la Umoja wa Mataifa linalohudumia wakimbizi wa Kipalestina ameonya kwamba vizuizi vipya vilivyowekwa na Israel vinakwamisha kabisa...
01 Jan 2026, 15:10
Somaliland: Mradi wa Pamoja wa Utawala wa Kizayuni na UAE

Somaliland: Mradi wa Pamoja wa Utawala wa Kizayuni na UAE

IQNA-Hatua ya kichokozi ya utawala wa Kizayuni wa Israel kutambua eneo la Somalia la 'Somaliland' kama nchi huuru kunahusishwa na mradi mpana...
01 Jan 2026, 15:02
Kituo Kipya cha Kuhifadhi Qur’ani Chazinduliwa Somalia

Kituo Kipya cha Kuhifadhi Qur’ani Chazinduliwa Somalia

IQNA – Kituo kipya cha kuhifadhi Qur’an kimefunguliwa katika eneo la Kahda, jimbo la Banadir, Somalia.
31 Dec 2025, 15:05
Al-Azhar na Radio ya Qur’ani Misri Kuandaa Kurekodi Qiraa Mpya

Al-Azhar na Radio ya Qur’ani Misri Kuandaa Kurekodi Qiraa Mpya

IQNA – Kituo cha Kiislamu cha Al-Azhar nchini Misri pamoja na Radio ya Qur’ani ya taifa hilo, hivi karibuni wataanza mradi wa kurekodi qiraa mpya za Qur’an...
31 Dec 2025, 14:51
Siku ya Krismasi, Msikiti wa Bradford Wakuwa Kitovu cha Jamii

Siku ya Krismasi, Msikiti wa Bradford Wakuwa Kitovu cha Jamii

IQNA – Wakati wengi walikusanyika na familia zao, milango ya msikiti mmoja mjini Bradford, kaskazini mwa Uingereza, ilifunguliwa kuwapokea wale ambao vinginevyo...
31 Dec 2025, 14:43
Maadhimisho Karbala Yasherehekea Kuzaliwa kwa Imam Jawad (AS)

Maadhimisho Karbala Yasherehekea Kuzaliwa kwa Imam Jawad (AS)

IQNA – Haramu tukufu ya Hadhrat Abbas (AS) mjini Karbala, Iraq, imeandaa sherehe ya kila mwaka kwa heshima ya kumbukumbu ya kuzaliwa kwa Imam Jawad (AS).
31 Dec 2025, 14:37
Haramu ya Najaf yapambwa kwa maua kabla ya Maadhimisho ya Kuzaliwa kwa Imam Ali (AS)

Haramu ya Najaf yapambwa kwa maua kabla ya Maadhimisho ya Kuzaliwa kwa Imam Ali (AS)

IQNA – Haramu tukufu ya Imam Ali (AS) mjini Najaf, Iraq, imepambwa kwa maua mengi kwa heshima ya kumbukumbu ya kuzaliwa kwa Imam wa kwanza wa Waislamu...
31 Dec 2025, 14:21
Nafasi ya Istighfar Katika Kuvuta Rehema za Mwenyezi Mungu
Istighfar Katika Qur’ani Tukufu/8

Nafasi ya Istighfar Katika Kuvuta Rehema za Mwenyezi Mungu

IQNA – Athari za Istighfar (kuomba msamaha kwa Mwenyezi Mungu) hazihusiani tu na kusamehewa dhambi, bali pia huondoa vizuizi vinavyokwamisha baraka na...
30 Dec 2025, 14:44
Nchi 48 zashiriki Mashindano ya Kimataifa ya Qur’ani Algeria

Nchi 48 zashiriki Mashindano ya Kimataifa ya Qur’ani Algeria

IQNA – Mashindano ya 21 ya Kimataifa ya Qur’ani nchini Algeria yameanza kwa ushiriki wa wawakilishi kutoka zaidi ya nchi 48.
30 Dec 2025, 14:38
Wahifadhi Qur’ani wa kike waenziwa katika kambi ya wakimbizi Gaza

Wahifadhi Qur’ani wa kike waenziwa katika kambi ya wakimbizi Gaza

IQNA – Hafla maalumu imefanyika Gaza kuadhimisha mahafali ya wanafunzi kadhaa wa kike waliokamilisha kuhifadhi Qur’ani Tukufu.
30 Dec 2025, 14:31
Wajumbe wa Baraza la Sera la Maonyesho ya Kimataifa ya Qur’ani Tehran watangazwa

Wajumbe wa Baraza la Sera la Maonyesho ya Kimataifa ya Qur’ani Tehran watangazwa

IQNA – Waziri wa Utamaduni na Mwongozo wa Kiislamu wa Iran ametangaza jina la mwenyekiti wa Maonyesho ya 33 ya Kimataifa ya Qur’ani mjini Tehran, pamoja...
30 Dec 2025, 14:13
Kikao cha Khatmul Qur’an chafanyika Oman jijini Salalah

Kikao cha Khatmul Qur’an chafanyika Oman jijini Salalah

IQNA – Hafla ya Khatm Qur’an imefanyika katika mji wa Salalah, Oman, ikihusisha washiriki 110 waliokuwa wamehifadhi Qur’ani Tukufu.
30 Dec 2025, 14:01
Bendera ya Haram ya Imam Ali (AS) yabadilishwa kabla ya tukio tukufu

Bendera ya Haram ya Imam Ali (AS) yabadilishwa kabla ya tukio tukufu

IQNA – Kadri maadhimisho ya kuzaliwa kwa Imam Ali (AS) yanavyokaribia, bendera ya haram ya Imam huyo wa kwanza imebadilishwa katika hafla maalumu Jumapili.
29 Dec 2025, 13:23
Picha‎ - Filamu‎