IQNA

Araghchi: Mashambulizi ya makombora ya Iran dhidi ya Israel yamezingatia haki halali ya kujilinda

Araghchi: Mashambulizi ya makombora ya Iran dhidi ya Israel yamezingatia haki halali ya kujilinda

(IQNA) – Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Bwana Abbas Araghchi, amefafanua kuwa mashambulizi ya hivi karibuni ya makombora ya Iran yalikuwa ni kitendo halali cha kujilinda, yaliyotekelezwa kujibu uchokozi wa wazi wa Israel dhidi ya maeneo ya kijeshi na ya kiraia.
20:53 , 2025 Jun 15
Jumuiya ya Qur'ani ya Iran inafungamana na utamaduni wa kupinga utawala wa Kizayuni

Jumuiya ya Qur'ani ya Iran inafungamana na utamaduni wa kupinga utawala wa Kizayuni

IQNA – Naibu Waziri wa Utamaduni na Mwongozo wa Kiislamu Iran ambaye anasimamia masuala ya Qur'ani na Itrah amelaani vitendo vya hivi karibuni vya uchokozi vya utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya Iran na kusisitiza azma ya jumuiya ya Qur'ani nchini kufungamana na utamaduni wa muqawama (mapambano ya Kiislamu) na kuupinga utawala wa Kizayuni sambamba na kutetea maadili ya Kiislamu.
20:32 , 2025 Jun 15
Mahujaji wa Iran kurejea kwa njia mbadala kupitia Iraq baada ya kufutwa kwa safari za ndege

Mahujaji wa Iran kurejea kwa njia mbadala kupitia Iraq baada ya kufutwa kwa safari za ndege

IQNA – Shirika la Hija la Iran limetangaza kuanza upya kwa safari za kurudi nyumbani kwa Mahujaji wa Iran kwa njia ya anga na nchi kavu baada ya kufutwa safari za ndege katika anga ya Iran kufuatia hujuma ya utawala haramu wa Israel
19:23 , 2025 Jun 15
Iran yatakeleza awamu ya pili ya mashambulizi dhidi utawala haramu wa Israel

Iran yatakeleza awamu ya pili ya mashambulizi dhidi utawala haramu wa Israel

IQNA-Mashambulizi ya makombora ya Iran ya jana usiku ya kulipiza kisasi jinai za Israel ni makubwa kiasi kwamba hadi hivi sasa taasisi za utawala wa Kizayuni zimeemewa na hazijui zianzie wapi.
19:14 , 2025 Jun 15
“Tamko la Ghadir” kwa mtazamo wa mwanazuoni wa Kisunni

“Tamko la Ghadir” kwa mtazamo wa mwanazuoni wa Kisunni

IQNA – Katika kitabu chake “Tamko la Ghadir”, mwanazuoni mashuhuri wa Kiislamu, Sheikh Muhammad Tahir-ul-Qadri, anatafakari kwa kina tukio muhimu sana katika historia ya mwanzo ya Uislamu, hotuba ya Mtume Muhammad (SAW) huko Ghadir Khum.
21:12 , 2025 Jun 14
Ayatullah Khamenei: Majeshi ya Iran yataupiga kwa nguvu utawala wa kigaidi na  kishetani wa Israel

Ayatullah Khamenei: Majeshi ya Iran yataupiga kwa nguvu utawala wa kigaidi na kishetani wa Israel

IQNA-Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Sayyid Ali Khamenei, amesema kuwa Vikosi vya Ulinzi vya Iran vitachukua hatua kali na kuufanya utawala wa Kizayuni wa Israel ufedheheke.
19:17 , 2025 Jun 14
Picha: Wairani  waandamana kulaani hujuma ya utawala wa Israel

Picha: Wairani waandamana kulaani hujuma ya utawala wa Israel

IQNA – Maelfu kwa maelfu ya wananchi wa Iran walimiminika mitaani kote nchini mara baada ya sala ya Ijumaa, tarehe 13 Juni 2025, kupinga kwa nguvu mashambulizi ya kichokozi ya utawala wa Kizayuni dhidi ya nchi yao.
17:01 , 2025 Jun 14
Operesheni kubwa ya kijeshi ya Iran dhidi ya Israel yafanikiwa

Operesheni kubwa ya kijeshi ya Iran dhidi ya Israel yafanikiwa

IQNA-Vikosi vya Jeshi la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran vimeanza kutekeleza wimbi la mashambulizi ya makombora dhidi ya utawala waKizayuni Israel, ili kulipiza kisasi kufuatia hujuma za utawala huo wa Kizayuni dhidi ya ardhi ya Iran.
10:48 , 2025 Jun 14
Ayatullah Sistani alaani mashambulizi ya kikatili ya Israel dhidi ya Iran

Ayatullah Sistani alaani mashambulizi ya kikatili ya Israel dhidi ya Iran

IQNA-Kiongozi Mkuu wa Waislamu wa madhehebu ya Shia nchini Iraq amelaani vikali uchokozi wa hivi karibuni wa utawala wa Israel dhidi ya Iran, na ameihimiza jamii ya kimataifa kuzuia mashine ya vita ya utawala huo wa Kizayuni.
19:34 , 2025 Jun 13
Iran yasitisha safari za ndege za kurejea kwa Mahujaji baada ya mashambulizi ya Israel

Iran yasitisha safari za ndege za kurejea kwa Mahujaji baada ya mashambulizi ya Israel

IQNA-Shirika la Hajj na Hija la Iran limetangaza Ijumaa kwamba safari zote za kurudi kwa Mahujaji wa Kiirani zimesitishwa hadi taarifa nyingine itakapotolewa, kufuatia kusimamishwa kwa safari za anga kote nchini baada ya mfululizo wa mashambulizi ya anga ya Israel.
19:15 , 2025 Jun 13
Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu: Utawala wa Kizayuni umejiandalia hatima chungu na yenye maumivu

Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu: Utawala wa Kizayuni umejiandalia hatima chungu na yenye maumivu

IQNA-Katika taarifa ya kulaani shambulio lililofanywa na utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya ardhi tukufu ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran mapema leo alfajiri, Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Sayyid Ali Khamenei, ametoa ujumbe mzito kwa taifa la Iran, akisisitiza kuwa adhabu kali inamsubiri mhalifu huyo wa kimataifa.
09:33 , 2025 Jun 13
Makamanda Waandamizi wa Iran, akiwemo Jenerali Salami, wauawa shahidi katika hujuma ya Israel

Makamanda Waandamizi wa Iran, akiwemo Jenerali Salami, wauawa shahidi katika hujuma ya Israel

IQNA-Meja Jenerali Hossein Salami, kamanda mkuu wa Jeshi la Iran la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC), pamoja na Meja Jenerali Mohammad Bagheri, Mkuu wa Kamandi ya Majeshi ya Iran wameuawa shahidi katika hujuma ya anga lililotekelezwa na utawala katili wa Israel mapema Ijumaa alfajiri mjini Tehran.
06:57 , 2025 Jun 13
Ayatullah Khamenei: Idul Ghadir ni sikukuu ya kipekee kwa Waislamu

Ayatullah Khamenei: Idul Ghadir ni sikukuu ya kipekee kwa Waislamu

IQNA – Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Sayyid Ali Khamenei, ametaja Idul-Ghadir, ambayo mwaka huu inaangukia tarehe 14 Juni, kuwa ni siku ya kipekee kwa Umma wa Kiislamu.
13:43 , 2025 Jun 12
Iran yazindua mpango mkubwa wa kitaifa kuadhimisha Idul Ghadir

Iran yazindua mpango mkubwa wa kitaifa kuadhimisha Idul Ghadir

IQNA – Kwa mujibu wa taarifa rasmi, Iran imepanga shughuli na maadhimisho ya kitaifa yenye sura ya kitamaduni, kidini na kijamii kwa ajili ya kusherehekea Sikuukuu ya Ghadir (Idul Ghadir), likiwa ni tukio mashuhuri linaloenziwa na Waislamu wa madhehebu ya Shia duniani kote.
15:39 , 2025 Jun 11
Uzinduzi wa Wiki ya Kimataifa ya Maadhimisho ya Idi ya Ghadir

Uzinduzi wa Wiki ya Kimataifa ya Maadhimisho ya Idi ya Ghadir

IQNA – Idara ya Mfawidhi wa Haram Takatifu ya Imam Ali (AS), imtangaza kuanza kwa maadhimisho ya Wiki ya Kimataifa ya Idul Ghadir, yakihusisha ushiriki kutoka zaidi ya mataifa 40 katika mabara matano.
15:29 , 2025 Jun 11
3