IQNA

Ushirikiano katika Uislamu na Kujenga Jamii

Ushirikiano katika Uislamu na Kujenga Jamii

IQNA – Msingi wa jamii ni ushirikiano, kushirikiana, na kubadilishana manufaa. Kwa hivyo, mtazamo wa kielimu wa Kiislamu umechukulia ushirikiano kuwa miongoni mwa mahitaji ya fikra za kimaadili.
19:59 , 2025 Nov 01
Mwana wa Qari Maarufu Sheikh Abdul Basit Abdul Samad Afariki Dunia Huko Cairo

Mwana wa Qari Maarufu Sheikh Abdul Basit Abdul Samad Afariki Dunia Huko Cairo

IQNA – Mwana wa qari mashuhuri wa Qur’ani kutoka Misri, Sheikh Abdul Basit Abdul Samad (rahimahullah), ambaye sauti yake imehifadhiwa katika nyoyo za Waislamu duniani kote, amefariki dunia mjini Cairo siku ya Ijumaa, tarehe 31 Oktoba 2025.
19:23 , 2025 Nov 01
Mchambuzi: Kupokonya Silaha Harakati za Muqawama Ni Ndoto

Mchambuzi: Kupokonya Silaha Harakati za Muqawama Ni Ndoto

IQNA – Kuzungumzia suala la “ Kupokonya Silaha Harakati za Muqawama” si chochote ila ni ndoto ya kufikirika, kwani maana yake ni kuwavua watu utashi wao na utambulisho wao, amesema mchambuzi wa kisiasa wa Kipalestina.
19:19 , 2025 Nov 01
Matawi Mapya ya Shule ya Kuhifadhi na Kusoma Qur’ani Yazinduliwa Misri

Matawi Mapya ya Shule ya Kuhifadhi na Kusoma Qur’ani Yazinduliwa Misri

IQNA – Kituo cha Maendeleo ya Elimu kwa Wanafunzi wa Kigeni katika Chuo Kikuu cha Kiislamu cha Al-Azhar nchini Misri kimetangaza uzinduzi wa matawi mawili mapya ya Shule ya Kuhifadhi na Kusoma Qur’ani ya Imam el-Tayeb.
19:10 , 2025 Nov 01
Mwanazuoni: Siku ya Kiyama Itakuwa Maonyesho ya Majuto ya Watu Waliohadaiwa

Mwanazuoni: Siku ya Kiyama Itakuwa Maonyesho ya Majuto ya Watu Waliohadaiwa

IQNA – Akifafanua dhana ya Yawm At-Taghābun, mwanazuoni wa chuo kikuu cha kidini kutoka (Hawzah) Iran amesema kuwa katika Siku ya Kiyama, mtu ataonyeshwa si tu matokeo ya matendo yake, bali pia mahali pake palipopotea Peponi—mandhari itakayokuwa majuto makubwa na mateso ya kiroho yasiyoelezeka.
19:04 , 2025 Nov 01
Muislamu Mjapani asema Qur'ani ni Kama “Dawa Iliyoponya Baada ya Madaktari Kushindwa”

Muislamu Mjapani asema Qur'ani ni Kama “Dawa Iliyoponya Baada ya Madaktari Kushindwa”

IQNA – Mhubiri wa Kiislamu mzaliwa wa Japani, Fatima Atsuko Hoshino, amesema kuwa Qur'ani Tukufu imempa majibu ya maswali aliyokuwa nayo kwa muda mrefu na imemponya maradhi ambayo wataalamu wa tiba walishindwa kuyatibu.
17:33 , 2025 Oct 31
Malaysia Yatumia Teknolojia ya Akili Mnemba (AI) Kuharakisha Uchapishaji Nakala za Qur'ani

Malaysia Yatumia Teknolojia ya Akili Mnemba (AI) Kuharakisha Uchapishaji Nakala za Qur'ani

IQNA – Serikali ya Malaysia imezindua mfumo mpya uitwao iTAQ unaotumia teknolojia ya Akili Mnemba (AI) kuharakisha mchakato wa kuthibitisha usahihi wa machapisho ya nakala za Qur'ani Tukufu.
17:22 , 2025 Oct 31
Mtafiti Asema Qur'ani Tukufu Inahimiza Mazungumzo ya Kitamaduni kwa Msingi wa Heshima na Kutambuana

Mtafiti Asema Qur'ani Tukufu Inahimiza Mazungumzo ya Kitamaduni kwa Msingi wa Heshima na Kutambuana

IQNA – Mwanazuoni wa masuala ya dini, Reza Malazadeh Yamchi, amesema kuwa Qur'ani Tukufu inatoa msingi wa maadili kwa uelewano baina ya tamaduni, ikisisitiza heshima, usawa, na mazungumzo badala ya ubabe wa kitamaduni.
17:16 , 2025 Oct 31
Mwanachuoni mkongwe wa Qur'an kutoka Misri, Sheikh Ghalban, aenziwa

Mwanachuoni mkongwe wa Qur'an kutoka Misri, Sheikh Ghalban, aenziwa

IQNA – Mwenyekiti wa Umoja wa Wanachuoni wa Qur'ani wa mkoa wa Kafr el-Sheikh nchini Misri amempa heshima maalum Sheikh Mohammed Younis al-Ghalban, gwiji wa usomaji wa Qur'an.
17:11 , 2025 Oct 31
Mashindano ya Kitaifa ya Qur'ani Nchini Kyrgyzstan Yafikia Tamati

Mashindano ya Kitaifa ya Qur'ani Nchini Kyrgyzstan Yafikia Tamati

IQNA – Mashindano ya Tatu ya Kitaifa ya Qur'an nchini Kyrgyzstan yametamatika rasmi kwa hafla maalum iliyofanyika siku ya Jumatano.
17:07 , 2025 Oct 31
UAE: Mashindano ya Kimataifa ya Qurani kuanza Novemba 1

UAE: Mashindano ya Kimataifa ya Qurani kuanza Novemba 1

IQNA – Mashindano makubwa ya Qurani yatakayoshirikisha washiriki kutoka ndani na nje ya nchi huko Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) yataanza rasmi tarehe 1 Novemba.
16:57 , 2025 Oct 29
Nakala Kubwa Zaidi ya Qurani Duniani Iliyoandikwa Kwa Mkono

Nakala Kubwa Zaidi ya Qurani Duniani Iliyoandikwa Kwa Mkono

IQNA – Mafanikio ya kihistoria katika sanaa ya hati za Kiislamu yamezinduliwa mjini Istanbul: Ni nakala kubwa zaidi ya Qur'ani duniani iliyoandikwa kwa mkono, matokeo ya juhudi za miaka sita bila kukata tamaa.
16:51 , 2025 Oct 29
Kiongozi Mkuu wa Al-Azhar Misri Aitaka Italia Itambue Palestina

Kiongozi Mkuu wa Al-Azhar Misri Aitaka Italia Itambue Palestina

IQNA – Mkuu wa Kituo cha Kiislamu cha Al-Azhar nchini Misri amebainisha matumaini kuwa Italia itaungana na idadi inayoongezeka ya mataifa ambayo tayari yametambua rasmi taifa la Palestina.
16:45 , 2025 Oct 29
Kampeni ya kusambaza nakala  50,000 Qur'ani nchini Mauritania

Kampeni ya kusambaza nakala 50,000 Qur'ani nchini Mauritania

IQNA – Jumuiya ya Qur'ani Tukufu ya Mauritania imetangaza uzinduzi wa kampeni ya kusambaza nakala 50,000 za Qurani nchini humo.
16:41 , 2025 Oct 29
Papa Leo Kutembelea 'Msikiti wa Sultan Ahmed'  Istanbul katika Ziara yake ya Kwanza Kimataifa

Papa Leo Kutembelea 'Msikiti wa Sultan Ahmed' Istanbul katika Ziara yake ya Kwanza Kimataifa

IQNA – Kiongozi wa Kanisa Katoliki anapanga kusafiri kuelekea nchini Uturuki, ambapo atatembelea Msikiti wa Sultan Ahmed maarufu kama Blue Mosque, ulioko mjini Istanbul.
16:35 , 2025 Oct 29
3