IQNA

Kiongozi Muadhamu ahimiza hatua za pamoja za Iran na Pakistan kukomesha jinai za Gaza

Kiongozi Muadhamu ahimiza hatua za pamoja za Iran na Pakistan kukomesha jinai za Gaza

IQNA-Ayatullah Sayyid Ali Khamenei, Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesisitizia ulazima wa kuweko hatua za pamoja na zenye ufanisi baina ya Iran na Pakistan za kukomesha jinai za utawala wa Kizayuni huko Gaza na ameashiria nafasi maalumu ya Pakistan katika ulimwengu wa Kiislamu.
17:21 , 2025 May 27
Israel yalaaniwa vikali kwa kuuhujumu Msikiti wa Al-Aqsa

Israel yalaaniwa vikali kwa kuuhujumu Msikiti wa Al-Aqsa

IQNA – Zaidi ya walowezi 1,000 wa Kizayuni wa utawala haramu wa Israel wakiwa na mawaziri wa mrengo mkali wa kulia na wakisaidiwa na jeshi la utawala huo katili, wameuvamia Msikiti wa Al-Aqsa katika mji unaokaliwa wa al-Quds siku ya Jumatatu.
10:27 , 2025 May 27
Kongamano kubwa la Qur'ani Tukufu lafanyika Dar, Tanzania

Kongamano kubwa la Qur'ani Tukufu lafanyika Dar, Tanzania

IQNA-Kongamano kubwa la Qur'ani Tukufu limefanyika jana Jumapili , Dar es Salaam Tanzania huku viongozi wa dini mbalimbali chini ya kauli mbiu 'Sauti ya Rehema'.
21:43 , 2025 May 26
Idul Adha itakuwa lini mwaka huu?

Idul Adha itakuwa lini mwaka huu?

IQNA-Idul Adha inatarajiwa kuangukia tarehe 6 Juni mwaka huu, kulingana na Kituo cha Kimataifa cha Astronomia. Kituo hicho
21:09 , 2025 May 26
Maonesho ya Kaaba yazinduliwa Makkah kwa Mahujaji

Maonesho ya Kaaba yazinduliwa Makkah kwa Mahujaji

IQNA – Maonesho mapya huko Makkah yanaonesha historia ya Kaaba kwa Mahujaji wanaohudhuria msimu wa Hija mwaka huu wa 1446 Hijria.
20:52 , 2025 May 26
Waumini wanaoelekea Hija watembelea makaburi ya Baqi' huko Madina

Waumini wanaoelekea Hija watembelea makaburi ya Baqi' huko Madina

IQNA – Makaburi ya Baqi' maarufu kama Janatul Baqi' katika mji mtakatifu wa Madina yamekuwa mahali takatifu na la kiroho kwa Waislamu, na mwaka huu, yamekuwa kivutio maalum kwa waumini kutoka mataifa mbalimbali ambao wanatembelea eneo hilo kabla ya kuelekea katika ibada ya Hija.
13:27 , 2025 May 26
Sa’i kati ya Safa na Marwa: Ibada ya Kitauhidi katika muktadha wa historia

Sa’i kati ya Safa na Marwa: Ibada ya Kitauhidi katika muktadha wa historia

IQNA – Safa na Marwa si milima miwili tu iliyopo karibu karibu na Msikiti Mtakatifu wa Makka. Ni alama za ibada, za Tauhidi, na kujitolea. Sa’i, yaani kitendo cha kutembea au kukimbia baina ya milima hiyo miwili, ambacho Qur’ani imekitaja kuwa miongoni mwa Sha’a’ir Allah (alama za ibada za Mwenyezi Mungu), ni kitendo chenye uzito kinachorejea katika tukio la kihistoria.
10:28 , 2025 May 26
Usomaji wa Qur’ani uliomfanya Sheikh al-Sayyid Saeed kupewa lakabu ya

Usomaji wa Qur’ani uliomfanya Sheikh al-Sayyid Saeed kupewa lakabu ya "Mfalme wa Maqari"

IQNA – Sheikh al-Sayyid Saeed, aliyefariki dunia Jumamosi, alijulikana kwa heshima kubwa kama “Sultan al-Qurra” (Mfalme wa Wasomaji wa Qur’an), kutokana na usomaji wake wa kipekee wa Qur’an.
15:48 , 2025 May 25
Kongamano kubwa la Qur'ani Tukufu lafanyika Tanga, Tanzania

Kongamano kubwa la Qur'ani Tukufu lafanyika Tanga, Tanzania

IQNA-Kongamano kubwa na la aina yake la Qur'ani Tukufu imefanyika katika mji wa pwani wa Tanga nchini Tanzania na kuwavutia hadhirina kutokana na usomaji wa kipekee wa Tajweed na wa kupendeza.
15:35 , 2025 May 25
Raundi ya mwisho ya Tamasha la Qur’an kwa Wanafunzi wa Vyuo Vikuu Iran

Raundi ya mwisho ya Tamasha la Qur’an kwa Wanafunzi wa Vyuo Vikuu Iran

IQNA – Raundi ya mwisho ya mashindano ya Qur’an kwa wanafunzi wa vyuo vikuu nchini Iran, toleo la 39, imeanza rasmi Jumamosi kwa hafla maalum ya uzinduzi.
15:23 , 2025 May 25
Qur’ani kwa dhahabu na rangi: Msanii wa Kiirani atafakari Sanaa ya Tadhib

Qur’ani kwa dhahabu na rangi: Msanii wa Kiirani atafakari Sanaa ya Tadhib

IQNA – Msanii mmoja kutoka Iran ameielezea namna uzuri wa kiroho wa Qur’an Tukufu unavyoendelea kumvutia na kumtia hamasa katika kazi yake ya sanaa ya kitamaduni ya tadhib au tazhib (mapambo ya Qur’an kwa dhahabu), ambayo ni miongoni mwa sanaa za Kiislamu za kale zinazotumika kupamba kurasa za Qur’an Tukufu.
15:18 , 2025 May 25
Teknolojia ya kisasa kudhibiti umati yaanzishwa Makkah kabla ya Hija

Teknolojia ya kisasa kudhibiti umati yaanzishwa Makkah kabla ya Hija

IQNA – Mfululizo wa mifumo ya kiteknolojia ya hali ya juu umetangazwa rasmi kwa ajili ya kuboresha usimamizi wa mahujaji katika Msikiti Mtakatifu wa Makkah kabla ya Hija ya mwaka 1446 Hijri (2025).
15:11 , 2025 May 25
Mfalme wa Wasomaji wa Qur'an wa Misri afariki dunia

Mfalme wa Wasomaji wa Qur'an wa Misri afariki dunia

IQNA – Qari maarufu wa Qur'ani nchini Misri, Sheikh Al-Sayyid Saeed, anayefahamika kwa lakabu ya “Sultan al-Qurra” (Mfalme wa Wasomaji wa Qur’an), amefariki dunia baada ya kuugua kwa muda.
11:18 , 2025 May 25
Amali Tukufu za Hija: Alama za Kiroho na Tawhidi

Amali Tukufu za Hija: Alama za Kiroho na Tawhidi

IQNA – Katika aya mbalimbali za Qur’ani, ibada za Hija kama Tawafu (kuzunguka Kaaba), kuchinja (udhiya), na nyinginezo, zimeelezwa kuwa sehemu ya ibada za mja kwa Mwenyezi Mungu.
21:30 , 2025 May 24
Katika mkutano Vatican, Iran yatoa wito kwa Kanisa Katoliki kuchukua hatua kukomesha mauaji ya kimbari Gaza

Katika mkutano Vatican, Iran yatoa wito kwa Kanisa Katoliki kuchukua hatua kukomesha mauaji ya kimbari Gaza

IQNA-Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Abbas Araghchi, katika mkutano na maafisa wa Makao Makuu ya Kanisa Katoliki Duniani, Vatican huko mjini Rome, ametoa wito wa kuchukuliwa hatua za haraka za kimataifa kukomesha uhalifu unaoendelea kutendwa na utawala katili wa Israel huku Gaza, na kuhakikisha misaada ya kibinadamu inafika katika eneo hilo lililozingirwa.
21:18 , 2025 May 24
9