iqna

IQNA

9-11
TEHRAN (IQNA)- Miaka 20 iliyopita katika siku kama ya leo ya tarehe 11 Septemba mwaka 2001, ndege mbili kati ya nne za abiria za Marekani zilizotekwa nyara ziligonga minara miwili pacha ya jengo la Biashara la Kimataifa la mjini New York huku ndege moja ikigonga jengo la Wizara ya Ulinzi ya Marekani (Pentagon) huko Washington.
Habari ID: 3474282    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/09/11