IQNA

Msomi maarufu wa Qur'ani Iran, Seyyed Mohammad Baqer Hojjat afariki akiwa na umri wa miaka 92

Msomi maarufu wa Qur'ani Iran, Seyyed Mohammad Baqer Hojjat afariki akiwa na umri wa miaka 92

IQNA - Mwanachuoni mashuhuri wa Qur'ani na Hadithi wa Iran, Hujjatul slam Dk. Seyyed Mohammad Baqer Hojjat, anayejulikana sana kama "Baba wa Sayansi ya Qur'ani nchini Iran," amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 92, siku ya Alhamisi.
19:05 , 2025 Jul 04
Mifumo ya kupunguza joto  katika Haram ya Imam Hussein (AS) wakati wa Muharram

Mifumo ya kupunguza joto  katika Haram ya Imam Hussein (AS) wakati wa Muharram

IQNA – Idara ya kiufundi na uhandisi ya Haram Tukufu ya Imam Hussein (AS) huko Karbala, Iraq imetangaza kutekelezwa kwa mradi maalumu wa kiyoyozi unaolenga kuwawekea mazingira mazuri kwa ajili ya wafanyaziara ji katika siku za maombolezo ya Muharram.
18:53 , 2025 Jul 04
Mwanamke Muislamu ashambuliwa Canada, avuliwa Hijabu  katika hujuma ya huki

Mwanamke Muislamu ashambuliwa Canada, avuliwa Hijabu katika hujuma ya huki

IQNA – Mwanamke Muislamu alishambuliwa kwa ukatili mahali pake pa kazi huko Oshawa, Ontario, Canada katika tukio ambalo viongozi wa jamii wanaitaka polisi kulichunguza kama jinai ya chuki.
18:30 , 2025 Jul 04
Ufaransa yashuhudia kuongezeka kwa Matukio ya Chuki Dhidi ya Waislamu mwaka 2025

Ufaransa yashuhudia kuongezeka kwa Matukio ya Chuki Dhidi ya Waislamu mwaka 2025

IQNA – Mamlaka za Ufaransa zimeripoti ongezeko la asilimia 75 la matukio ya chuki dhidi ya Waislamu katika miezi mitano ya kwanza ya mwaka 2025, huku mashambulizi dhidi ya watu binafsi yakiongezeka mara tatu ikilinganishwa na kipindi kama hicho mwaka jana.
18:21 , 2025 Jul 04
Ansarullah ya Yemen: Wazayuni wanaendeleza ukatili wao huko Gaza bila huruma

Ansarullah ya Yemen: Wazayuni wanaendeleza ukatili wao huko Gaza bila huruma

IQNA – Kiongozi wa harakati ya mapambano ya Kiislamu ya Ansarullah nchini Yemen amelaani kuendelea kwa jinai za utawala wa Kizayuni dhidi ya raia wasio na hatia wa Palestina, huku jumuiya ya kimataifa ikikaa kimya bila kuchukua hatua yoyote.
18:13 , 2025 Jul 04
19