Sura za Qur'ani Tukufu /80
TEHRAN (IQNA) – Kuna aya nyingi ndani ya Qur’an pamoja na Hadithi kuhusu maisha ya baada ya kifo na Siku ya Kiyama, zikiwemo aya za Surah Abasa zinazosema watu wanakimbiana siku hiyo.
Habari ID: 3477058 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/05/28