iqna

IQNA

Ayatullah Sistani
Taazia
IQNA – Marjaa Mkuu wa Waislamu wa Madhehebu ya Shia nchini Iraq, Ayatullah Seyed Ali al-Sistani ametoa pole kwa kifo cha Sheikh Mohsin Ali Najafi, mfasiri wa Qur'ani na mwanachuoni mwandamizi wa Pakistan.
Habari ID: 3478176    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/01/10

Watetezi wa Palestina
KARBALA (IQNA) - Sheikh Abdul Mahdi al-Karbalayi, mwakilishi wa Ayatullah Sayyed Ali al-Sistani jijini Karbala, Iraq amesisitiza uungaji mkono kwa watu wa Palestina katika kukabiliana na uchokozi wa kikatili wa utawala wa Kizayuni.
Habari ID: 3477995    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/12/06

Kimbunga cha Al-Aqsa
TEHRAN (IQNA) - Kiongozi wa juu wa kidini wa Waislamu wa madhehebu ya Shia nchini Iraq ametoa mwito kwa Waislamu kote duniani kuwaunga mkono, kuwahami na kuwasaidia wananchi wa Palestina, wakati huu ambapo utawala wa Kizayuni wa Israel unaendelea kufanya mashambulizi ya kikatili dhidi ya wakazi wa Ukanda wa Gaza.
Habari ID: 3477709    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/10/10

Watetezi wa Qur'ani Tukufu
TEHRAN (IQNA)- Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres ameijibu barua aliyoandikiwa na Kiongozi wa juu wa kidini wa Waislamu wa madhehebu ya Shia nchini Iraq kuhusu kuvunjiwa heshima Qur'ani Tukufu katika nchi za Uswidi na Denmark.
Habari ID: 3477349    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/07/28

Chuki dhidi ya Uislamu
Ayatullah Sayyid Ali Sistani, Marjaa wa Waislamu wa Kishia nchini Iraq amelaani hatua ya Uswidi (Sweden) kuruhusu kuvunjiwa heshima Qur'ani Tukufu nchini humo na ameutaka Umoja wa Mataifa kuchukua hatua za kuzuia kukaririwa vitendo vya kuvunjiwa heshima kitabu cha Waislamu cha Qur'ani Tukufu.
Habari ID: 3477215    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/06/30

Umoja wa Waislamu
TEHRAN (IQNA) - Ayatullah Ammar al-Hakim, kiongozi wa Harakati ya Al-Hikma (Hekima) ya Iraq, amekutana na mkuu wa Kituo cha Kiislamu cha Al-Azhar cha Misri Sheikh Ahmed al-Tayyib.
Habari ID: 3477073    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/05/30

Mazungumzo baina ya dini
TEHRAN (IQNA) - Mjumbe wa Umoja wa Mataifa amesema amepata mvuto wa kipekee wa kiroho alipokuwa akitembelea Haram (kaburi) takatifu ya Imam Hussein (AS) huko Karbala, Iraq.
Habari ID: 3476293    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/12/23

Uislamu na Ukristo
TEHRAN (IQNA) – Papa Francis, katika ziara ya kwanza ya kiongozi wa Kanisa Katoliki Duniani, alisafiri hadi Iraq mwezi Machi mwaka jana.
Habari ID: 3476271    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/12/19

Inna lillahi wa inna ilayhi raji'un
TEHRAN (IQNA) – Kufuatia kifo cha Faqihi mashuhuri wa madhehebu ya Shia Ayatullah Mohammad Sadeq Rouhani, Marjaa Taqlid wa Iraq Ayatullah Seyed Ali al-Sistani alitoa ujumbe wa rambirambi siku ya Jumamosi.
Habari ID: 3476262    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/12/17

TEHRAN (IQNA)- Rais Mahmoud Abbas wa Mamlaka ya Ndani ya Palestina amemwandikia barua Ayatullah Ali Sistani kiongozi wa juu wa kidini wa Waislamu wa madhehebu ya Shia nchini Iraq kumpongeza na kumshukuru kwa misimamo yake ya kuitetea na kuihami Palestina katika mkutano wake na Papa Francis, Kiongozi wa Kanisa Katoliki Duniani.
Habari ID: 3473733    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/03/14

TEHRAN (IQNA) - Kiongozi wa Kanisa Katoliki duniani Papa Francis ameitembelea Iraq katika safari ya kihistoria ambayo pia ni safari yake ya kwanza ya kimataifa tangu kuibuka janga la COVID-19.
Habari ID: 3473708    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/03/06

TEHRAN (IQNA)- Kiongozi wa Kiislamu nchini Iraq Ayatullah Sayyid Ali Sistani amekutana na Papa Francis, Kiongozi wa Kanisa Katoliki Duniani ambapo katika mji mtakatifu wa Najaf, Iraq.
Habari ID: 3473707    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/03/06

TEHRAN (IQNA) – Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Hizbullah ya Lebanon imelaani vikali hatua ya gazeti moja linalomilikiwa na Saudia kuchora katuni inayomvunjia heshima kiongozi wa juu wa kidini wa nchini Iraq Ayatullah Sayyed Ali Al-Sistani.
Habari ID: 3472931    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/07/05

TEHRAN (IQNA)- Mwanazuoni wa ngazi za juu kabisa wa Waislamu wa madhehebu ya Shia nchini Iraq, Ayatullah Sayyid Ali al-Sistani amesema madaktari na wauguzi ambao wanawatibu wagonjwa wa COVID-19 au kirusi cha corona na kisha wanapoteza maisha baada ya kuambukizwa kirusi hicho wakiwa kazini watahesabiwa kuwa ni mashahidi.
Habari ID: 3472576    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/03/17