Wizara ya Masuala ya Kiislamu, Wakfu na Mwongozo ya Saudi Arabia imetangaza kuwa wawakilishi wa nchi 52 dunia watashiriki katika mashindano ya 32 ya kimataifa ya hifdhi, tajwidi na tafsiri ya Qur'ani yatakayofanyika nchini humo.
2011 Oct 17 , 17:07
Sherehe za kufunga mashindano ya kitaifa ya Qur'ani Tukufu na Suna za Mtume (saw) zilifanyika siku ya Jumanne huko Sharjah katika Umoja wa Falme za Kiarabu.
2011 Oct 13 , 14:17
Mkuu wa Jumuiya ya Shughuli za Kiqur'ani ya Wanafunzi wa Vyuo Vikuu vya Iran ametoa pendekezo la kufanyika mashindano ya kimataifa ya Qur'ani ya wanafunzi Waislamu wa vyuo vikuu nchini Lebanon. Mashindano hayo ya 4 ya wanachuo Waislamu yamepangwa kufanyika mwezi Mei mwakani.
2011 Oct 12 , 15:23
Jumuiya ya Uhakiki wa Kiislamu ya al Azhar huko Misri imeamuru kukusanywa nakala zote za Qur'ani zilizochapishwa nchini China kutoka kwenye masoko ya nchi hiyo kutokana na kuwa na makosa ya kichapa na kimaandishi.
2011 Oct 11 , 20:57
Idara ya Mwongozo na Malezi ya Wizara ya Elimu ya serikali halali ya Palestina imegawa nakala za Qur'ani zilizoandikwa kwa hati za Braille makhsusi kwa ajili ya vipofu.
2011 Oct 10 , 15:47
Kituo cha kuchapisha na kusambaza Qur'ani Tukufu cha Mfalme Fahad katika mji mtakatifu wa Madina kitakuwa mwenyeji wa Kongamano la Kimataifa la Mbinu Bora ya Kuchapisha Qur'ani Tukufu.
2011 Oct 08 , 16:50
Wizara ya Wakfu na Masuala ya Kiislamu ya Algeria imetangaza kuwa mashindano ya kitaifa ya Qur'ani ya maimamu na walimu wa Qur'ani yatafanyika hivi karibuni nchini humo.
2011 Oct 05 , 14:30
Nuskha za Qur'ani Tukufu zilizo na kasoro za kurasa na aya, zilizopitishwa na Jumuiya ya Utafiti ya al-Azhar zimeonyeshwa katika maonyesho ya 16 ya kimataifa ya vitabu nchini Algeria.
2011 Oct 04 , 16:38
Mashindano ya kwanza ya kimataifa ya Qur'ani Tukufu ya Iraq ambao yamepewa jina na "Kunusuru Qur'ani Tukufu" yalimalizika jana katika mji wa Kadhimein.
2011 Oct 03 , 10:52
Mkurugenzi wa kiwanda cha uchapishaji wa Qur'ani cha Mfalme Fahad nchini Saudi Arabia amesema kuwa nakana za Qur'ani ya elektroniki zenye makosa ya kichapa zimeanza kukusanywa.
2011 Sep 28 , 19:44
Palestina imenyakua nafasi ya kwanza ya mashindano ya kimataifa ya kiraa na tajwidi ya Qur'ani Tukufu ambayo yalifanyika hivi karibuni mjini Moscow, Russia.
2011 Sep 27 , 14:41
Duru ya kwanza ya mashindano ya kitaifa ya Qur'ani Tukufu kwa wanafunzi wa shule za msingi nchini Iraq ilianza siku ya Jumapili katika mji mtakatifu wa Kadhimain ambapo shakhsia mashuhuri wanaoshughulikia masuala ya Qur'ani Tukufu, ya kidini na kiutamaduni walihudhuria.
2011 Sep 27 , 14:37
Vikao vya kiraa ya Qur'ani Tukufu vinafanyika katika misikiti ya miji mbalimbali ya Marekani.
2011 Sep 26 , 15:46