IQNA

Msikiti wa Kihistoria wa Ibn Tulun mjini Cairo, Misri

TEHRAN (IQNA) – Msikiti wa Ibn Tulun ni moja ya misikiti mikongwe katika mji mkuu wa Misri wa Cairo na pia katika Afrika.

Ahmad ibn Tulun, gavana wa Abbas wa Misri kutoka 868 hadi 884 Miladia  aliamuru kujengwa kwa msikiti huo, na mradi ulianza mnamo 876 Miladia

Msikiti huu umejengwa katia ua wazi na hivyo kuruhusu mwanga kuingia na unaashiria  mitindo ya kale ya usanifu mjengo Misri.