Kashmir, ardhi ya watu wenye imani
TEHRAN (IQNA)- Kashmir ni moja kati ya maeneo maridadi zaidi duniani yenye mandahru za kuvutia za kimaumbile. Wakazi wa eneo hilo wamekuwa wakifuata dini tukufu ya Kiislamu kwa muda mrefu na kuna misikiti iliyojengwa karne kadhaa zilizopita katika ardhi hii yenye mvuto wa kipekee.