IQNA

Diplomasia

Rais Raisi: Iran inaweza kuzisaidia nchi za Afrika katika uga wa ustawi wa teknolojia

IQNA-Raisi Ebrahim Raisi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuna irada baina ya Iran na Afrika kuimarisha na kustawisha uhusiano wa kibiashara na kuongeza...
Jinai za Israel

Afrika Kusini yasisitiza ulazima wa uchunguzi kuhusu makaburi ya halaiki huko Gaza

IQNA-Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Afrika Kusini imetoa mwito wa kufanyika uchunguzi wa haraka na wa kina kuhusu makaburi ya umati yaliyogunduliwa katika...
Al-Masjid An-Nabawī

Msikiti wa Mtume SAW wakaribisha waumini milioni 5.9 kwa wiki

IQNA - Mamlaka za Saudia zimeripoti kuwa zaidi ya waumini milioni 5.9 walitembelea Msikiti wa Mtume (Al-Masjid An-Nabawī) wiki iliyopita.

Msikize Sheikh Abdul Basit akisoma kwa unyenyekevu Aya za Surah Adh-Dhariyat (+Video)

IQNA - Marehemu qari wa Misri Sheikh Abdul Basit Abdul Samad anajulikana katika ulimwengu wa Kiislamu kama mmoja wa wasomaji wakubwa wa Qur'ani Tukufu
Habari Maalumu
Mkuu wa Al-Azhar asisitiza tarjuma sahihi ya maandiko ya Kiislamu
Elimu

Mkuu wa Al-Azhar asisitiza tarjuma sahihi ya maandiko ya Kiislamu

IQNA - Rais wa Chuo Kikuu cha Kiislamu cha Al-Azhar nchini Misri ameisitiza haja ya kulipa kipaumbele maalum  suala la tarjuma au tafsiri sahihi ya maandishi...
25 Apr 2024, 17:23
Qari wa Morocco ashika nafasi ya kwanza katika Mashindano ya Kimataifa ya Qur'ani Bahrain
Mashindano ya Qur'ani

Qari wa Morocco ashika nafasi ya kwanza katika Mashindano ya Kimataifa ya Qur'ani Bahrain

IQNA - Mashindano ya Nne ya Kimataifa ya Qur'ani ya Bahrain yalihitimishwa Jumatano usiku.
25 Apr 2024, 17:09
UNRWA yaomba misaada ya kibinadamu Palestina, Israel yaendeleza mauaji ya kimbari
Mauaji ya Kimbari Gaza

UNRWA yaomba misaada ya kibinadamu Palestina, Israel yaendeleza mauaji ya kimbari

IQNA - Ili kushughulikia mahitaji ya dharura zaidi ya Wapalestina huko Gaza na Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan, Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia...
25 Apr 2024, 17:02
Kujistahi na nidhamu ya kihisia kulingana na Qur'ani
Nidhamu Katika Qur'ani/ 5

Kujistahi na nidhamu ya kihisia kulingana na Qur'ani

IQNA - Sababu kuu ya hisia nyingi zisizohitajika ni ukosefu wa kujistahi au ile hisia ya kujiheshimu.
24 Apr 2024, 20:54
Mashindano ya Qur'ani ya Malaysia
Mashindano ya Qur'ani

Mashindano ya Qur'ani ya Malaysia

IQNA - Mashindano ya kila mwaka ya Qur'ani katika jimbo la Sabah nchini Malaysia yamezinduliwa katika mji wa Kota Kinabalu Jumatano
24 Apr 2024, 20:40
Msahafu wa zama za Uthmaniyya kupigwa mnada jijini London
Turathi za Kiislamu

Msahafu wa zama za Uthmaniyya kupigwa mnada jijini London

IQNA – Msahafu wa kipekee wa enzi za Uthmaniyya ni miongoni mwa bidhaa za sanaa za Kiislamu zitakazopigwa mnada Sotheby's London wiki hii.
24 Apr 2024, 20:31
Idhaa ya Qur'ani ya Misri yaadhimisha miaka 60 tokea iasisiwe
Harakati za Qur'ani

Idhaa ya Qur'ani ya Misri yaadhimisha miaka 60 tokea iasisiwe

IQNA - Sherehe imefanyika katika Radio au Idhaa ya Qur'ani ya Misri huko Cairo kusherehekea kumbukumbu ya miaka 60 ya kuanzishwa kwa kituo hicho cha redio
24 Apr 2024, 20:21
Zaidi ya Wairani 83,000 kushiriki ibada ya Hija mwaka huu
Hija

Zaidi ya Wairani 83,000 kushiriki ibada ya Hija mwaka huu

IQNA - Zaidi ya Wairani 83,000 wataelekea Saudi Arabia kushiriki katika ibada ya Hija mwaka huu, afisa mmoja alisema.
23 Apr 2024, 11:20
Umoja wa Mataifa washtushwa na kugunduliwa kwa kaburi la umati Gaza
Jina za Israel

Umoja wa Mataifa washtushwa na kugunduliwa kwa kaburi la umati Gaza

IQNA - Msemaji wa Umoja wa Mataifa ameitaja ripoti kuhusu kugunduliwa kwa makaburi ya halaiki huko Gaza kuwa ni ya kushtusha, huku ushahidi wa awali ukionyesha...
23 Apr 2024, 11:30
Afisa wa Al-Azhar aangazia changamoto katika kutafsiri maandishi ya kidini
Elimu

Afisa wa Al-Azhar aangazia changamoto katika kutafsiri maandishi ya kidini

IQNA - Naibu mkuu wa Kituo cha Kiislamu cha Al-Azhar cha Misri amesema kuna changamoto nyingi katika kazi ya tarjuma au tafsiri ya maandiko ya kidini,...
23 Apr 2024, 11:07
Nidhamu ya Kihisia na Mafundisho ya Qur'ani
Nidhamu Katika Qur'ani /4

Nidhamu ya Kihisia na Mafundisho ya Qur'ani

IQNA - Kwa mujibu wa mafundisho ya Qur'ani Tukufu, tabia ya mtu ya kutetea kwa ukali maoni na matamanio yake inaondolewa na uwezo wake wa kudhibiti hisia...
23 Apr 2024, 09:59
Walowezi wa Kizayuni wavamia Msikiti wa Al-Aqsa Kabla ya Pasaka
Jinai za Israel

Walowezi wa Kizayuni wavamia Msikiti wa Al-Aqsa Kabla ya Pasaka

IQNA - Makumi ya walowezi wa Kizayuni wamevamia Msikiti wa Al-Aqsa katika mji wa Quds (Jerusalem) siku ya Jumatatu chini ya ulinzi mkali wa wanajeshi wa...
23 Apr 2024, 09:37
Wairani wanaoenda Umrah watakiwa kuwaombea Wapalestina wa Gaza
Umrah 1445

Wairani wanaoenda Umrah watakiwa kuwaombea Wapalestina wa Gaza

IQNA - Afisa wa Hijja wa Iran amelitaka kundi la kwanza la Wairani walioelekea Saudia kwa ajili ya Hija ndogo ya Umra kuwakumbuka Wapalestina hasa wa...
22 Apr 2024, 21:01
Miili 190 yapatikana katika kaburi la umati hospitalini Gaza baada askari wa Israel kutoroka
Jinai za Israel

Miili 190 yapatikana katika kaburi la umati hospitalini Gaza baada askari wa Israel kutoroka

IQNA - Takriban miili 190 imetolewa kwenye kaburi la umati katika Hospitali ya Nasser katika mji wa Khan Younis kusini mwa Ukanda wa Gaza.
22 Apr 2024, 20:48
Mchambuzi wa Syria: Operesheni ya Iran dhidi ya Israel imeleta mabadiliko ya kihistoria
Ahadi ya Kweli

Mchambuzi wa Syria: Operesheni ya Iran dhidi ya Israel imeleta mabadiliko ya kihistoria

IQNA - Mwanaharakati wa kisiasa wa Syria amesema shambulio la makombora ya Iran na ndege zisizo na rubani dhidi ya Israeli mapema mwezi huu limeleta mabadiliko...
22 Apr 2024, 10:28
Mwigizaji Donnie Roelvink atangaza Kusilimu
Waislamu Ulaya

Mwigizaji Donnie Roelvink atangaza Kusilimu

IQNA - Mwigizaji wa Uholanzi Donnie Roelvink amesilimu siku ya Ijumaa, Aprili 19, kwa kutamka Shahadah.
22 Apr 2024, 09:58
Picha‎ - Filamu‎