IQNA

Mashindano ya Kimataifa ya Qur'an Port Said Yafungua Usajili kwa Washiriki wa Kimataifa

IQNA – Kamati Kuu ya Maandalizi ya Mashindano ya Kimataifa ya Qur'an ya Port Said nchini Misri imetangaza kufunguliwa kwa usajili wa washiriki wa...

Hafla ya kufunga Mashindano ya Kitaifa ya Qur'an Iran

IQNA – Hafla ya kufunga awamu ya mwisho ya Mashindano ya 48 ya Kitaifa ya Qur'an ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran inatarajiwa kufanyika, Oktoba 27,...

Mkaligrafia wa Kiirani atumia Sanaa ya Qur'an kuimarisha Mahusiano ya Kimataifa

IQNA – Mkaligrafia wa Kiirani, Bi Tandis Taghavi, amesema kuwa anatumia sanaa ya kuandika Qur'an Tukufu kama njia ya kuwasilisha mafundisho ya dini...

Mfungwa wa Kipalestina aliyeachiliwa azungumzia udhalilishaji wa Qur'an katika Magereza ya Israel

IQNA – Mfungwa wa Kipalestina aliyeachiliwa kutoka gereza la utawala wa Kizayuni ameeleza mateso makali na hali isiyo ya kibinadamu inayowakumba wafungwa...
Habari Maalumu
Mgombea wa umeya wa Jiji la New York, Mamdani, akabiliana hujuma za chuki dhidi ya dini yake ya Kiislamu

Mgombea wa umeya wa Jiji la New York, Mamdani, akabiliana hujuma za chuki dhidi ya dini yake ya Kiislamu

IQNA – Katika kipindi cha kuelekea kuanza kwa upigaji kura wa mapema, mgombea wa umeya wa Jiji la New York, Zohran Mamdani, ametetea imani yake ya Kiislamu...
26 Oct 2025, 09:31
Misingi ya Ushirikiano Katika Qur’ani Tukufu
Ushirikiano katika Qur’ani Tukufu/5

Misingi ya Ushirikiano Katika Qur’ani Tukufu

IQNA – Kwa mujibu wa mtazamo wa Kiislamu, binadamu wote ni waja wa Mwenyezi Mungu, na mali yote ni ya Mwenyezi Mungu. Hivyo basi, mahitaji ya wale wasiojiweza...
25 Oct 2025, 15:48
Usajili Wafunguliwa kwa Mashindano ya 21 ya Kimataifa ya Qur’ani Tukufu Algeria

Usajili Wafunguliwa kwa Mashindano ya 21 ya Kimataifa ya Qur’ani Tukufu Algeria

IQNA – Usajili umefunguliwa rasmi kwa toleo la 21 la Mashindano ya Kimataifa ya Qur’ani Tukufu nchini Algeria, mojawapo ya mashindano yenye heshima kubwa...
25 Oct 2025, 15:29
Maandishi ya Kale Yaliyofichwa Katika Hazina za Kihistoria za Tunisia

Maandishi ya Kale Yaliyofichwa Katika Hazina za Kihistoria za Tunisia

IQNA – Maktaba mbalimbali nchini Tunisia, zikiwemo zile za vyuo vikuu vya Zaytouna na Kairouan pamoja na maktaba binafsi, zimehifadhi maelfu ya maandishi...
25 Oct 2025, 15:19
Mashindano ya Kitaifa ya Qur’ani Tukufu kwa Wanawake Yaendelea Sanandaj, Iran

Mashindano ya Kitaifa ya Qur’ani Tukufu kwa Wanawake Yaendelea Sanandaj, Iran

IQNA – Washiriki wa kitengo cha wanawake katika Mashindano ya 48 ya Kitaifa ya Qur’ani Tukufu nchini Iran waliendelea kuonesha umahiri wao siku ya tatu...
25 Oct 2025, 14:41
Tishio la Bomu Laisimamisha Shughuli za Msikiti wa Kilbirnie Nchini New Zealand

Tishio la Bomu Laisimamisha Shughuli za Msikiti wa Kilbirnie Nchini New Zealand

IQNA – Polisi nchini New Zealand wanafanya uchunguzi kuhusu tishio la bomu lililolenga Msikiti wa Kilbirnie uliopo Wellington, hali iliyosababisha kusitishwa...
25 Oct 2025, 14:38
Ayatullah Khamenei amtaja Allamah Naeini kuwa Nguzo ya Kielimu katika Chuo cha Kale cha Najaf

Ayatullah Khamenei amtaja Allamah Naeini kuwa Nguzo ya Kielimu katika Chuo cha Kale cha Najaf

IQNA – Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Sayyid Ali Khamenei, amemtaja Allamah Mirza Muhammad Hussain Naeini (Rehmatullah alayh) kama...
24 Oct 2025, 14:48
Mashindano ya Kuhifadhi Qur’ani Australia: Jukwaa la Kuwaenzi Wanafunzi na Wahudumu wa Qur’ani

Mashindano ya Kuhifadhi Qur’ani Australia: Jukwaa la Kuwaenzi Wanafunzi na Wahudumu wa Qur’ani

IQNA – Kwa kuboresha mazingira ya upangaji na uamuzi, na kuongeza ushiriki wa washiriki wenye hamasa, mashindano ya kuhifadhi Qur’ani ya Australia yamegeuka...
24 Oct 2025, 14:56
Waziri wa Awqaf wa Misri ampongeza Qari mwandamizi kwa kuenziwa Moscow

Waziri wa Awqaf wa Misri ampongeza Qari mwandamizi kwa kuenziwa Moscow

IQNA – Waziri wa Mambo ya Waqf wa Misri ametoa pongezi zake kwa kuenziwa hivi karibuni kwa Qari maarufu Sheikh Abdul Fattah Taruti wakati wa mashindano...
24 Oct 2025, 14:52
Idara ya Mkoa wa Al-Quds Yaonya: Uchimbaji unaofanywa na Israel unavuruga misingi ya Msikiti wa Al-Aqsa

Idara ya Mkoa wa Al-Quds Yaonya: Uchimbaji unaofanywa na Israel unavuruga misingi ya Msikiti wa Al-Aqsa

IQNA – Mamlaka za Palestina zimeonya kuwa shughuli za uchimbaji zinazofanywa na utawala wa Kizayuni wa Israel karibu na Msikiti wa Al-Aqsa na katika Mji...
24 Oct 2025, 14:39
Ufilipino Yazindua ‘Muslim Travelogue’ Kuimarisha Sekta ya Utalii  'Halal'

Ufilipino Yazindua ‘Muslim Travelogue’ Kuimarisha Sekta ya Utalii 'Halal'

IQNA – Serikali ya Ufilipino imezindua mpango mpya wa kukuza nafasi ya taifa hilo la Kusini Mashariki mwa Asia katika soko la kimataifa la utalii 'Halal',...
23 Oct 2025, 16:49
Tafsiri ya Qur'an Iliyoandikwa Kwa Mkono na Marehemu Ahmed Omar Hashem Yazinduliwa Rasmi Nchini Misri

Tafsiri ya Qur'an Iliyoandikwa Kwa Mkono na Marehemu Ahmed Omar Hashem Yazinduliwa Rasmi Nchini Misri

IQNA – Katika tukio la kihistoria lililopeperushwa kupitia kipindi cha televisheni cha Ahl Masr nchini Misri, tafsiri ya Qur'ani Tukufu iliyoandikwa...
23 Oct 2025, 16:39
Norway Yazindua Tovuti ya Kitaifa Kukabiliana na Chuki Dhidi ya Uislamu

Norway Yazindua Tovuti ya Kitaifa Kukabiliana na Chuki Dhidi ya Uislamu

IQNA – Mtandao wa Mazungumzo ya Kiislamu nchini Norway (Islamic Dialogue Network) umezindua tovuti ya kwanza ya kitaifa ya kupambana na chuki dhidi ya...
23 Oct 2025, 16:33
Sheikh Saleh Al-Fawzan Ateuliwa Mufti Mkuu Mpya wa Saudi Arabia

Sheikh Saleh Al-Fawzan Ateuliwa Mufti Mkuu Mpya wa Saudi Arabia

IQNA – Mwanazuoni mwenye msimamo wa kihafidhina na aliye katika miaka ya tisini ameteuliwa kuwa kiongozi mkuu wa kidini au Mufti Mkuu nchini Saudi Arabia,...
23 Oct 2025, 16:55
Uingereza yatakiwa kufafanua maana ya 'Chuki Dhidi ya Uislamu' (Islamophobia)

Uingereza yatakiwa kufafanua maana ya 'Chuki Dhidi ya Uislamu' (Islamophobia)

IQNA- Kufuatia ongezeko kubwa la uhalifu wa chuki dhidi ya Waislamu nchini Uingereza, serikali inatarajiwa kutangaza ufafanuzi mpya wa neno “'Chuki...
23 Oct 2025, 16:21
WFP: Ugavi wa chakula Gaza haujafikia wanaohitaji zaidi

WFP: Ugavi wa chakula Gaza haujafikia wanaohitaji zaidi

IQNA – Shirika la Chakula Duniani la Umoja wa Mataifa (WFP) limesema kuwa kiwango cha chakula kinachoingia Gaza bado kiko chini sana ya lengo la tani 2,000...
22 Oct 2025, 17:00
Picha‎ - Filamu‎