Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amewatumia salamu za pongezi viongozi wa nchi zote za Kiislamu duniani kwa munasaba wa kuwadia Mwezi Mtukufu wa Ramadhani ambapo amewataka wautangaze mwezi wa Ramadhani mwaka huu kuwa ni 'Ramadhani ya Amani na Rahma'.
2014 Jun 28 , 18:48
Meya wa eneo la 16 la Paris ambaye mapema mwaka huu hakuhudhuria mahakamani kwa kosa la kuvunjia heshima Uislamu, amekataa tena kufika mahakamani kwa mara pili.
2014 Jun 25 , 19:50
Mjumbe mwandamizi wa Kamati ya Afya ya Shirikisho la Soka Duniani FIFA amesema kuwa, wachezaji Waislamu watakaofunga mwezi mtukufu wa Ramadhani, hawataathirika kiafya wakati wa kuendelea michuano ya kombe la dunia nchini Brazil.
2014 Jun 24 , 17:09
Ayatullah Ali Sistani, kiongozi mkuu wa kidini wa Waislamu wa Kishia nchini Iraq amewataka raia wa nchi hiyo kujiepusha na aina yoyote ya hatua za kidini au ukabila zinazoweza kuvunja umoja wao sambamba na kuacha matumizi ya silaha kinyume cha sheria.
2014 Jun 16 , 18:04
Sheikhe mkuu wa Al Azhar Ahmad Tayyib amehutubu katika sherehe za ufunguzi katika sherehe za ufunguzi wa Kombe la Dunia Brazil baadaye hii leo
2014 Jun 12 , 12:49
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema maudhui ya Umahdi na kudhihiri Imam wa Zama (ATF) ni ahadi isiyopingika ya Mwenyezi Mungu kwa ajili ya kuongoza jamii ya mwanaadamu.
2014 Jun 12 , 12:29
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema kuwa, silaha za nyuklia zinapingana kikamilifu na ubinadamu.
2014 Jun 09 , 18:48
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Sayyid Ali Khamenei amesema Jamhuri ya Kiislamu ya Iran haijawahi kusalimu amri mbele ya nchi za Magharibi na kwamba imeweza kustawi na kuendelea siku hadi siku.
2014 Jun 05 , 19:49
Mashirika yasiyo ya kiserikali nchini Malaysia yametoa wito wa kususiwa bidha za chokleti za Shirika la Cadbury baada ya uchunguzi wa DNA kubaini kuwa kuna vipande vidogo vidogo sana vya nyama ya nguruwe katika bidhaa za shirika hilo la kutengeneza chokleti.
2014 May 29 , 14:51
Sayyid Hassan Nasrullah Katibu Mkuu wa Harakati ya mapambano (Muqawama) ya Kiislamu ya Hizbullah nchini Lebanon, amesema kuwa, Iddi au siku kuu ya muqawama na kukombolewa kusini mwa Lebanon ni Iddi ya taifa na umma mzima wa Kiislamu.
2014 May 26 , 15:13
Rais Hassan Rouhani amesema Jamhuri ya Kiislamu ya Iran itapata ushindi katika kuyakabili na hatimaye kuyaondoa mashinikizo dhidi ya miradi yake ya nishati ya nyuklia.
2014 May 26 , 15:09
Amiri Jeshi Mkuu wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran
Amiri Jeshi Mkuu wa Majeshi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesisitiza kuwa, Marekani imekasirishwa na hatua ya taifa la Iran ya kusimama kidete mbele ya mgawanyiko wa dunia katika kambi ya mabeberu na wanaojisalimisha mbele ya mabeberu.
2014 May 22 , 11:32
Magaidi wa Kitakfiri au Kiwahabbi ambao wanajifanya kuwa Waislamu sasa wanatekeleza jinai katika maeneo mbali mbali ya dunia kwa lengo la kuuharibia jina Uislamu. Hayo yamedokezwa na Shekhe Mkuu wa Chuo Kikuu cha Al Azhar nchini Misri, Ahmad Tayyib.
2014 May 15 , 12:10