Rais wa mpito wa Jamhuri ya Afrika ya Kati, Bi. Catherine Samba Panza, amemteua Mohammad Kamoun kuwa Waziri Mkuu mpya wa nchi hiyo.
2014 Aug 12 , 17:42
Wapalestina wawili wameuawa shahidi na wengine wanne wamejeruhiwa katika mashambulizi ya leo asubuhi ya utawala wa Kizayuni huko Ghaza.
2014 Aug 09 , 16:50
Wakati ulimwengu mzima ukionesha kusikitishwa na mauaji ya kinyama yanayofanywa na jeshi la Israel dhidi ya Wapalestina, maulama wa Saudia wameendelea kutoa fatuwa za kuwakandamiza Wapalestina.
2014 Aug 03 , 08:10
Jumuiya ya Waislamu nchini Nigeria imelaani mauaji ya Waislamu wa Kishia yaliyotekelezwa katika siku ya kimataifa ya Quds. Kwa mujibu wa ripoti hiyo jumuiya hiyo imelaani mauaji hayo iliyoyataja kuwa ya kinyama.
2014 Jul 28 , 19:45
Magaidi wa kitakfiri nchini Iraq wameendelea kubomoa turathi za kidini mna maeneno matakatifu ambapo katika tukio la hivi karibuni wamebomoa msikiti wa kale wa Nabii Shayth AS (Seth) katika mji wa Mosul.
2014 Jul 27 , 10:50
Ayatullah Sheikh Issa Qassim wa Bahrain amekosoa kimya cha baadhi ya nchi za Kiarabu kuhusu jinai za utawala wa Kizayuni wa Israel katika Ukanda wa Ghaza.
2014 Jul 26 , 21:37
Magaidi wa Kiwahabbi wa kundi la kitakfiri la Daesh wamelibomoa na kubakia kifusi kaburi la Nabii Yunus AS lililoko katika mji wa Mosul, nchini Iraq.
2014 Jul 25 , 22:39
Taasisi ya Imam Hussein AS katika eneo la Bugiri Mashariki mwa Uganda ni moja ya vituo muhimu zaidi vya kuhubiri Uislamu na maarifa ya Ahul Bayt AS katika eneo hilo.
2014 Jul 23 , 21:44
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullahil Udhma Sayyid Ali Khamenei amezungumzia tukio la kusikitisha la kuuawa wananchi wa Ghaza hasa wanawake na watoto na kusisitiza kuwa, kadhia ya Ghaza kwa hakika ni ya kusikitisha na utawala wa Kizayuni wa Israel umeamua kutekeleza jinai kutokana na mghafala ulioko katika ulimwengu wa Kiislamu.
2014 Jul 16 , 02:05
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema kuwa, vyombo vya mfumo wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran hivi sasa vinalengwa na madola ya kibeberu ya Magharibi na hasa Marekani.
2014 Jul 08 , 19:43
Katika hali ambayo utawala wa kifalme wa Bahrain hadi sasa umeshavunja misikiti 38 nchini humo kwa visingizio tofauti, Mfalme wa Bahrain amemzawadia Papa Francis wa Kanisa Katoliki, ramani ya kanisa kubwa linalotarajiwa kujengwa nchini humo.
2014 Jul 05 , 17:11
Jumuiya ya Ushirikiano ya Nchi za Kiislamu OIC na Jumuiya ya Nchi za Kiarabu (Arab League) zimetaka kusimamishwa mapigano huko Syria katika kipindi hiki cha mfungo wa mwezi Mtukufu wa Ramadhani.
2014 Jul 01 , 18:08
Pendekezo la Rais Rouhani
Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amewatumia salamu za pongezi viongozi wa nchi zote za Kiislamu duniani kwa munasaba wa kuwadia Mwezi Mtukufu wa Ramadhani ambapo amewataka wautangaze mwezi wa Ramadhani mwaka huu kuwa ni 'Ramadhani ya Amani na Rahma'.
2014 Jun 28 , 18:48