Waislamu China
IQNA - Msikiti Mkuu wa Taipei, mji mkuu wa eneo la Taiwan, ni msikiti mkongwe zaidi katika kisiwa hicho na pia mkubwa zaidi.
Habari ID: 3478264 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/01/28
Turathi ya Kiislamu
Urejeshaji wa Msahafu (Qur'ani Tukufu) ulioandikwa miaka 500 iliyopita hivi karibuni umekamilika eneo la China laTaiwan .
Habari ID: 3477116 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/06/07
TEHRAN (IQNA) – ‘Wiki ya Halal’ imeandaliwa kwa mara ya kwanza huko Taiwan kwa lengo la kuarifisha bidhaa na huduma ambazo zimetayarishwa kwa kuzingatia mafundisho ya Kiislamu.
Habari ID: 3474310 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/09/18