Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullahil Udhma Sayyid Ali Khamenei amesema kuwa, kupinga madola ya kibeberu duniani ni msingi wa Kiislamu.
2015 Sep 06 , 11:38
Naibu Mkuu wa Baraza la Mamufti wa Russia
Sheikh Roushan Abbasov Naibu Mwenyekiti wa Baraza la Mamufti wa Russia amesema shughuli na harakati za Taasisi ya Jihadi ya Vyuo Vikuu nchini Iran ni chimbuko la fakhari kwa Umma wa Kiislamu kote duniani.
2015 Sep 05 , 19:24
Sheikh Mkuu wa Kituo cha Kiislamu cha Al Azhar nchini Misri amesema kufa maji mtoto mkimbizi wa miaka mitatu kutoka Syria katika ufukwe wa Bahari nchini Uturuki ni aibu kwa jamii ya mwanadamu.
2015 Sep 05 , 18:58
Harakati za makundi yanayowaunga mkono wananchi wa Palestina na kutetea haki za binadamu dhidi ya safari iliyopangwa kufanywa na Waziri Mkuu wa utawala wa Kizayuni wa Israel na mazungumzo yake na viongozi wa Uingereza zimeshadidi na kushika kasi zaidi.
2015 Sep 05 , 18:26
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullahil Udhma Sayyid Ali Khamenei amesema Iran ilifnaya mazungmzo ya nyuklia na nchi za 5+1 ili iondolewe vikwazo na kwa hivyo hakutakuwa na mapatano baina ya pande mbili iwapo vikwazo havitaondolewa.
2015 Sep 03 , 21:18
Kundi la kigaidi la ISIS (Daesh) limetekeleza miripuko ya mabomu kwenye msikiti wa Waislamu wa Madhehebu ya Shia katika mji mkuu wa Yemen Sana'a na kupelekea waumini wasiopungua 32 kupoteza maisha.
2015 Sep 03 , 12:56
Makamu wa Rais wa Iran na Mkuu wa Shirika la Utamaduni na Turathi Masoud Soltanifar amesema shirika hilo linapanga kuigezua Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kuwa kitovu cha utalii Halali duniani.
2015 Sep 02 , 16:20
Magaidi wa Boko Haram hawawezi hata kusoma Qur'ani Tukufu wala kutekeleza maundisho ya dini ambayo wanadai kupigania wanapotekeleza jinai zao, amesema afisa mwandamizi wa jeshi la Nigeria.
2015 Aug 31 , 18:13
Kundi la kigaidi la ISIS au Daesh limeweka sheria kali kwa wakaazi wa mji wa Mosul, Iraq ambao wanataka kuelekea katika safari ya kila mwaka ya ibada ya Hija.
2015 Aug 31 , 14:07
Umoja wa Mataifa umetoa indhari kuhusu wimbi jipya la wakimbizi wa Myanmar na Bangladesh wanaoelekea katika eneo la Asia Mashariki na yamkini jambo hilo likaibua maafa ya kibinadamu.
2015 Aug 31 , 14:02
Kundi la kigaidi na kitakfiri la ISIS(Daesh) nchini Iraq, limebomoa msikiti mmoja kusini mwa mkoa wa Nainawa, sanjari na kuondoa nakshi za kihistoria katika makanisa mawili katikati ya mji wa Mosul.
2015 Aug 30 , 07:21
Zaidi ya maulamaa na maimamu 300 wa Kiislamu Somalia, Kenya, Tanzania, Ethiopia na Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo wametangaza Fatwa ya kupambana na kundi la kigaidi la al-Shabab na itikadi yenye misimamo mikali ya Uwahhabi.
2015 Aug 30 , 06:00
Spika wa Majlisi ya Ushauri wa Kiislamu ya Iran (Bunge) amesema kuwa, migogoro ya Syria na Yemen inaweza kupatiwa ufumbuzi kupitia njia za kidiplomasia.
2015 Aug 29 , 14:57